Saturday, August 8, 2009

MALKIAS FROM TZ LOOKIN MIGHTY FINE IN WHITE....,

JENN AM FEELIN THIS GIRL...,


DEVOTA MISS DIVA..,mwanamke shepu na umejaaliwa


JUDITH..,A K A ANGELIC.,



5 comments:

  1. I can die for that look, purple and white!!!what a blend?? you are just a star and a true fashionista my girl. The two galz look great as well ila hiyo look ya JENN imenikuna zaidi.

    ReplyDelete
  2. that shirt nafwaaaaaa mie...hayo si ndo yale mabega naona siku hizi mastaa wa Hollywood kama rihanna wanavaa, nimekubali mama.

    ReplyDelete
  3. http://www.youtube.com/watch?v=PAIzm2nQjjk

    hi!
    Nuru,
    kiufupi mimi ni mpenzi sana wa mitindo, lakini ninachojua mara nyingi mitindo huenda ma music au vp? na hapa nazungumzia muziki wa RNB and soul.
    kiukweli tofauti na mitindo mimi ni mlevi wa soul, RnB and Hiphop.
    toka ulipo weka video yako ya msela kwenye video nikaona kwanini basi hata mara moja kwa wiki usituwekee muziki ili wapenzi wako na blog yako tukipita tuburudike kwa kucheki mavazi ya kisasa na kusikiliza ama kuona music mipya!
    kwa vile watu wengi huwa wanapenda Rnb and soul na hawajui sehemu za kuzipata au hawajui nyimbo mpya ama nani katoa nini na wakatigani mimi nilikuwa nakushauri kama utapenda hata maramoja kwa wiki tutundikie basi nyimbo za soul hapa kwenye blog.
    kama utaweza ku access nyimbo mpya mimi naweza nikawa nakutumia kwa email harafu wewe una upload lakini kama ukipenda.
    niwazo tu na sikupenda kuliweka hadharani ila kwa vile siijui email yako ndo maana nimetundika hapa
    kama ukipenda nimekutumia link ya wimbo wa maxwell ambao umetoka siku si nyingi sana, mimi naufeel usipime, na pia ni wimbo mzuri sana na kama unavyojua maxwell ni msanii mkongwe na kitambo sana ila mara nyingi wabongo nyimbo za watu kama hawa hawazipati na hawazijui, wanawajua kina ne-yo, criss brown na chipkizi wengine

    lol ... hapa naweka pia mashairi ya wimbo huo ili uuelewe vizuri na wadau wauelewe vizuri........

    Time will bring the real end of our trial
    One day they'll be no remnants
    No trace, No residual
    Feelings within ya
    One day u won't remember me

    Your face will be the reason I smile
    But I will not see what I cannot have forever
    I'll always love ya
    I hope you feel the same
    You played me dirty, your game was so bad
    You toyed with my affliction
    Had to fill out my prescription
    Found the remedy
    I had to set you free

    Away from me
    To see clearly the way that
    Love can be
    When you are not with me
    I had to lead
    I had to let
    I had to leave
    I had to live

    (If I can't have you let love set you free)
    (To fly your pretty wings around)

    Pretty wings, your
    Pretty wings, your
    Pretty wings, pretty wings around...

    I came wrong
    You were right
    Transformed your love into light
    Baby, believe me, I’m sorry I told you lies
    I turned day into night
    Sleep till I die a thousand times
    I should have showed you better nights
    Better times, better days
    I miss you more and more

    (If I can't have you let love set you free)
    (To fly your pretty wings around)

    Pretty wings, your pretty wings your (pretty wings, your pretty wings around)
    So pretty wings, your pretty wings around (pretty wings your pretty wings around)
    Say pretty wings, oh pretty wings yeah (pretty wings, your pretty wings)
    Around

    wako,
    Atama Karapoo
    Jp

    ReplyDelete
  4. anony hapo juu jenn looks great hata mimi nimezimia her look...,na judy and diva are killin it in white..,
    KARAPAA HIYO NI IDEA NZURI SANA NA NITAIFANYIA KAZI...,AHSANTE

    ReplyDelete
  5. Hey baby sister you look sparkling and sunshine miss Tanzania 2014

    ReplyDelete