Wednesday, August 5, 2009

A FLOWER MADE IN TANZANIA CALLED NURU THE LIGHT...,LOL




8 comments:

  1. ninachokupendea ni hapo tu.kila siku sum thin new.kip it real

    ReplyDelete
  2. we ni ua linalochanua hata jangwani, yaani hata jua kali mfukoni. mwayego wewe ni mzuri na unavutia katika mazingira yoyote, nyumbani hata ufukweni, kijijini hata mjini. unapendeza sana. wewe ni bonge la modo.ungekuwa wimbo ningekupa mic 5, ama nyota 5. endelea kuwakilisha

    pamoja sana

    Atama karapoo

    ReplyDelete
  3. nimependa hiyo tit ulivyo metisha na pazia na viti na mistari ya brauzi, harafu hicho kisweta kwa mbali na majani ya miti yanayo chunguli, miwani na mkoba na cheni iliyotiririka taratibu katikati ya kifua. ha! ha! ha! haaaaaaaaaaaaaa! umekosa kaua ka njano kimtindo kichwani........

    ila umependeza mwaya ! ngoja haterz tukuonee donge.......

    ni hayo tu

    Atama karapoo

    Japan

    ReplyDelete
  4. hey nuru...i'm loving ur blog,its one of my daily must-see
    anyway i got a small request or rather a question-pliiz show different fashion trends 4 us tall and slim gals-i'm one of them
    i'm in love with high heels bt my biggest fear is that i become too tall once i'm in heels and i think i look like some kind of a giant
    and the biggest problem is i become even taller than my guy smthin which meks me feel less feminine when i'm with him and in heels(hope umenielewa hapo)
    so pliiz i'm lukin forward u show some fashion trends 4 gals like me!tufanyaje?should we always opt 4 plumps and flaties?plii i need ur help coz ur a 1 true fashionista and kip up the good work gal..

    ReplyDelete
  5. Nuru hapo umesema ndugu yangu. Safi sana

    ReplyDelete
  6. You look beautiful in anything you wear,maybe it's the
    way you pose and represent yourself. Mmm.. Mmm....

    ReplyDelete
  7. candy thnks...,
    atama karapooo umeniacha hoi kwa maneno yako nashkuru sanaaa na haters tunasubiri comments lol...,Yasinta dada yangu nashkuru na anony hapo juu..,
    TALL GIRL NITAFANYA HIYO HOMEWORK lakini dont stop wearin heels sawa..,

    ReplyDelete