Tuesday, March 17, 2009


THE LOUNGE OR AN AREA THAT U WANT TO DECOR

2 comments:

  1. Hapa umeniweza naipenda nyeusi na nyeupe. Unajua siku moja rafiki mmoja alicheka sana na kushangaa ilikuwa krimas mna mimi niliweka na bado nimeweka pazi nyeupe na nyeusi, Badala ya nyekundu au kijani ha ha ha ha

    ReplyDelete
  2. Unajua kila nyumba unaweza kuitengeza na rangi yoyote unayoipenda ili mradi tu kujua kupangilia...hahah alipata shokii

    ReplyDelete