tag:blogger.com,1999:blog-4586260235012257935.post8321598385606105649..comments2024-03-01T07:07:51.648+01:00Comments on NURU THE LIGHT: SAD BUT TRUE!!!NURU THE LIGHThttp://www.blogger.com/profile/12420702793986498006noreply@blogger.comBlogger3125tag:blogger.com,1999:blog-4586260235012257935.post-6704674005391250022016-10-20T12:07:14.730+02:002016-10-20T12:07:14.730+02:00Kwani wanashindwa nini kutumia social networks kut...Kwani wanashindwa nini kutumia social networks kutangaza zaidi kazi zao kuliko maisha yao binafsi? Wameshawazoesha mashabiki kuwatangazia maisha yao binafsi ndiyo maana na mashabiki wamekuwa interested zaidi kufuatilia maisha binafsi ya wasanii kuliko kazi zao! SMAnonymousnoreply@blogger.comtag:blogger.com,1999:blog-4586260235012257935.post-30965590377651034042016-10-20T08:40:18.765+02:002016-10-20T08:40:18.765+02:00Ujanja mwingi mbele kiza...!tatizo wasanii wetu Ha...Ujanja mwingi mbele kiza...!tatizo wasanii wetu Hawaii wakati gani wanaishi maisha halisi na wakati gani wanaigiza!mwamini anonymushttps://www.blogger.com/profile/09061180382702797903noreply@blogger.comtag:blogger.com,1999:blog-4586260235012257935.post-35031687895021471372016-10-19T23:38:01.622+02:002016-10-19T23:38:01.622+02:00Utoto bado unawasumbua wakikuwa wataacha ila waang...Utoto bado unawasumbua wakikuwa wataacha ila waangalie isije kuwa wanakuwa mwili akili wanaacha nyuma. Naungana na baba Jesca kwenye sala ya kuombea malaika ashuke aje azime hii mitandao ya kijamii watu warudi kwenye uhalisia wao, maana imekuwa too much. Hasa huko insta utafikiri watu wamekumbwa na pepo kila mtu anacharukia kwake. Hivi ukikaa kimya kwani inakuwaje jamani khaa yaani hawa vijana waAnonymousnoreply@blogger.com