tag:blogger.com,1999:blog-4586260235012257935.post7417909361226372757..comments2024-03-01T07:07:51.648+01:00Comments on NURU THE LIGHT: NIMEENJOY SANA KUONA HIZI SHEREHE KWANI WAMENIONYESHA DUNIANI TUNATOFAUTIANA CHA MSINGI NI KUWA NA FURAHA!!!NURU THE LIGHThttp://www.blogger.com/profile/12420702793986498006noreply@blogger.comBlogger2125tag:blogger.com,1999:blog-4586260235012257935.post-44846614699892124822016-10-31T17:19:40.034+01:002016-10-31T17:19:40.034+01:00Wakali wao ni noma yaani nimejikuta nimecheka kwa ...Wakali wao ni noma yaani nimejikuta nimecheka kwa nguvu khaaa utafikiri wamesilibwa majivu uwiiiiii kioo kumbe na chenyewe huwa kinadanganya duuuh sio kwa msilibo huo. <br />Haya huyu naye aliyemremba Latifa alikuwa mchepuko wa bwana harusi nini???? Ndio nini kumkandika mwenzie mieye shadow kiasi hicho jamani khaaa, Latifa mzuri ila sasa make up imekuwa make down, naomba kuuliza kwa wale Anonymousnoreply@blogger.comtag:blogger.com,1999:blog-4586260235012257935.post-26501478522060407462016-10-31T06:39:17.688+01:002016-10-31T06:39:17.688+01:00Huyo Latifa, kwa nini kakubali make up ya hivyo. M...Huyo Latifa, kwa nini kakubali make up ya hivyo. Mwenyewe mzuri ila hizo eyeshadow ndio zimemfanya kituko Anonymousnoreply@blogger.com