tag:blogger.com,1999:blog-4586260235012257935.post4922249816431712674..comments2024-03-01T07:07:51.648+01:00Comments on NURU THE LIGHT: IRENE UWOYA!!!NURU THE LIGHThttp://www.blogger.com/profile/12420702793986498006noreply@blogger.comBlogger1125tag:blogger.com,1999:blog-4586260235012257935.post-48432842106149465072016-09-28T11:54:43.289+02:002016-09-28T11:54:43.289+02:00Tuongelee nyumba kwanza. Kuna carpets nzuri za kuw...Tuongelee nyumba kwanza. Kuna carpets nzuri za kuweka chooni/bafuni na ni nzuri sana zinakaa vizuri ni usafi wako tu. sasa ule mdekio kule unafanya nini? anyways kwa mimi kile sio choo cha kupigia pic kwa kweli am soreeee. mimi sijajenga bado ila nikitafuta nyumba ya kupanga huwa naangalia choo na jiko kwanza, then vitu vingine huwa vinajiset vyenyewe. Anonymousnoreply@blogger.com