tag:blogger.com,1999:blog-4586260235012257935.post2324404373548932523..comments2024-03-01T07:07:51.648+01:00Comments on NURU THE LIGHT: Yaliyojiri!!!NURU THE LIGHThttp://www.blogger.com/profile/12420702793986498006noreply@blogger.comBlogger3125tag:blogger.com,1999:blog-4586260235012257935.post-52859219929118389322017-04-27T07:20:18.016+02:002017-04-27T07:20:18.016+02:00niliangalia muvi ya ray kigosi aiseee
zile sauti ...niliangalia muvi ya ray kigosi aiseee <br />zile sauti sijui huwa wanaziingiza kwa muvi wakiwa kwenye chumba kisichokuwa na dirisha yaani kuna ule mwangwi sijui mwangi kwa wale waliosoma kiswahili wananielewa<br />yani unasikia kabisaa mtu anaongea nguvu na mtu yuko karibu naye <br />kahhhsosoanohttps://www.blogger.com/profile/13836038794497077533noreply@blogger.comtag:blogger.com,1999:blog-4586260235012257935.post-42236834651667780702017-04-27T07:17:33.120+02:002017-04-27T07:17:33.120+02:00hahahahahahaha!!!!
wabongo na wahindi ni wanaongoz...hahahahahahaha!!!!<br />wabongo na wahindi ni wanaongoza kwa uongo kwenye kila nyanja ya usanii <br />mie naangalia tamthilia ya kihindi unaona kabisaa hapa mtu anamuona mwenzie badala ya kumuita anazuga kuwa ananunua kitu au bize <br />chhhaaaaaaaaaaaaaa!!!!!!!!<br />alafu wanapenda slow motion balaaa mi wananiboaga kweli <br />eti gari inapigwa risasi haitoboki hahahha!!!!<br />msichana wa sosoanohttps://www.blogger.com/profile/13836038794497077533noreply@blogger.comtag:blogger.com,1999:blog-4586260235012257935.post-5182634275018082292017-04-24T21:57:41.563+02:002017-04-24T21:57:41.563+02:00Niliangaliaga movie moja ya Wema, Auntie na Hemedi...Niliangaliaga movie moja ya Wema, Auntie na Hemedi inaitwa Family kadesa one to one movie ya Stepmom ya Julia Roberts na Susan Sarandon I was so disappointed hata Wema ni wa kudesa ma exposure yote aliyonayo? Well they have a long way to go na waache kulazimisha kuongea kidhungu wengine hawawezi kabisaaaa wanajilazimisha, very few have good english diction wakitaka kufanya vizuri wapractice Anonymousnoreply@blogger.com