Genuine Nordic Vodka

Genuine Nordic Vodka

Thursday, July 6, 2017

Ok Then!!!



4 comments:

Anonymous said...

Is she The one to talk about staha mmmh yeye hapendi kupangiwa na wenzake asiwapangie

sosoano said...

true kabisaaa
nasemage hawa mastaa wa majuu zaid uwa wanatafuta kuendelea kuwepo kwenye soko
na pia soko lao lisishuke
wana make pesa na hizo picha, we wapiga na kupeleka kwako tena waweka ukutani
chaaaaa!!!!
afu kusema mwenzio we wajua ni lini utakuja waona hao wajukuu zako???? mfyuuuuuuu, au wako wakafa wote afu ukakosa kabisaaaa
huwa wananiboa kweli eti mbona huzai, zaaa umri unaenda sijui blaaaa blaaaa
kitabu gani cha Mungu kiliandika mwanzo wa kuzaa na mwisho wa kuzaaa???
mlegeeeee kabisaaa mnaowasema mwenzenu

Anonymous said...

Inshallah kwa Rehma zake Allah atampa na kwa Rehma zake atamjaalia Subra zaid atapoa
cha kumpa . Si wa kwanza duniani na kajikubali . Kuna wasofikiria zaa na hawana uhakika wanaweza kupata au hawawezi ! Allah mjaalie kila anayetamani inshaallah.

Watanzania tunachelewa kwa Roho mbaua

Irene said...

Mungu ambariki Wema maaana wanamsema haswaaaa. Ila hata mie swala la watu kupiga picha matumbo yao inanikera haswaaaaa