Genuine Nordic Vodka

Genuine Nordic Vodka

Thursday, June 8, 2017

Yaliyojiri!!!





5 comments:

sosoano said...

1. mmmhhh huyu AT nahisi anatafuta kiki kupitia migongo ya wenzie
2. ehhh!!! m nilikuwa sijui kama anga letu lamilikiwa na Kenya, means hata sie ipo siku tutaambiwa tunamilikiwa na Mugabe!!!!
3. sasa jmn tutaolewa na wa aina gani hahhahahha!!! mbona majanga ya snura
4. hahahhaha!!!!! eti sisi tuvumiliane tu hahhaha!!! kuna watu wanajua kuwachekesha wenzao ila ndio nzr mana twaongeza siku za kuishi so ukiolewa na kijana inabidi uwe unacheka sana kuongeza siku za kuishi

Cute Olive said...

hahahah imebidi nicheke Mume bora.

AT waache Dai na Kiba kwanza wewe hatukusikii kabisaaaa

Anonymous said...

Watu wanaishi karne za kale. Wasoolewa Wanakufa wasoolewa wanakufa. Kuolewa ni mapenzi ya mtu. Na kuishi na afya ni jinsi gani moyo unaweza kubeba mauzi.
Matajiri hata visivyotabiriwa

Irene said...

ha ha nimeipenda hiyo sifa ya mume ipo amaizing

anonymus said...

AT nae siku hizi sijui amekuwaje naona anapoteza mwelekeo!mwamini