Genuine Nordic Vodka

Genuine Nordic Vodka

Thursday, June 29, 2017

THE MORNING AFTER!!!








 Goodbye and thanks for coming Coolest guy ever.,





















 tulikuwa tunapishana tu hahahah...
 Niwachekesheni si Mama aliiweka hii supu mara si akae kwa sofa na kusinzia hahahahah nakuja jikoni nauliza nani anapika naambiwa mama kaweka akaondoka basi ndio nikaingia na kutake ovaa
tropical bash haikuacha mtu salama...,


 Mchemsho hatarious...

The morning after the birthday party everybody was tired...
But hey we had mad fun so it was all worth it..

8 comments:

Bintinyota said...

kabla ya yote huyu MJ atapiganisha wandugu humuuuu!!

sasa nakuja kwako The Light, Ya Rabb ajaalie huu upendo na udugu wenu udumu maisha. yaani mnaifurahisha, mnanishawishi siwezi elezea.

siku ya kwanza nimekutana nawe ilikuwa kwa Lady Jydee!!
nikakusalimia ukaniitikia vizuri bila maringo wala nini,
nilifurahia sana. na nilipokwambia mimi ndiye marogoooo mwenyewe orig.
ukani-kumbatia kwa furaha zaidi ya mwanzo, yaani niliona vipi una mapenzi.
nawaombea na wengine humu ndani wakutane na wewe!!
nikapata harufu ya my fav perfume!! (nikaona tuna vitu in common)

Narudia tena nakupenda sana na nampenda sana mama yenu kwa kazi kubwa yakufanya mpendane this much. keep up the love The Light.

Cute Olive said...

Hongereni sana kwa umoja na upendo mlio nao uzidi kudumu. kwa party ile lazima muwe na uchomvu au hangover lazima ushushie na supu. nimependa hiyo pic mama na vijana wake mama anawachekesha

Gwantwa said...

Hongereni sana Nuru. Hata maandiko yanasema ni vyema na inampendeza Mungu ndugu wakikaa pamoja. My dear Nuru hivi huyo coolest guy ameoa?

Anonymous said...

goosh i love your family, i will say this till i cant say it anymore!!! familia yetu ni full majungu wandugu kwa wandugu, full visasi full wivu, its so sad but i have not give up hope yet ipo siku we will be okay

Irene said...

your beautiful girl, umependeza with no makeup, hiyo ndizi imenitoa udelele. God protect wewe na familia yako maana mna upendo wa ajabu mpo pamoja kama nyuki haswaaa, shambulia ung,atweee

NURU THE LIGHT said...

Gwantwa Yes tena mkewe ana wivuuu uwii but they are both cool People
Anon 3.30 iko siku yataisha au tafuta nyie mnaopatana muwe na umoja wengine watafuata
Cute olive tulikuwa kama mateja choka mbayaaaaa haha

Bintinyota ahsante sana kwa maneno yako ya busara popo bawa unazidi mtia hasira lol..

Bintinyota said...

popo bawa atajikeriiiiii atasubiri sana urudi kwa brother hahahahaha

sosoano said...

uwiiii nimemuonaaaa my MJ
jmn pls pls pls MJ is mine,
da nuu hvi ni kweli ameoa au???
nitaliaaa mieee pls naomba asiwe ameoa jmn,
afu da nuu ile siku ya zawadi alikuwa yeye au mana kdg nimkumbatie nikijua ni yeye
ila Bintinyota uko sahh da nuu yuko poa sana
toka nimeijua hii blog yake sijawahi jutia,
sasa kazi iliyobaki ni moja tu da nuu kukuona wewe na my MJ and the rest of your family, nitafurahi afu nitajikombakomba mpk niwe ndg humo kwenu