Genuine Nordic Vodka

Genuine Nordic Vodka

Monday, June 12, 2017

#RipotiyaMchanga#MakinikiyaPili!!!










4 comments:

comfort said...

Me napita tu.

sosoano said...

ngoja ninyamaze tu
mana hakuna anayejua ukweli wa hili jambo
wanajua wenyewe why yametokea.

anonymus said...

Changanya changanyaa hadi nachanganyikiwa mimi ...mweeh!mwamini

Cute Olive said...

Tunajua waliopitisha sheria hapo bungeni kwa kusema NDIYO wengine wakisema SIYO wakati huo wa Mkapa hadi Kikwete juu ya Madini yetu. Tunaomba Mikataba iwekwe wazi ili kuficha Mianya ya rushwa na udanganyifu kwa Taifa. Mfano tu hai kuna mikataba ambayo imeshasainiwa Awamu hii lakini hatuijui kama na yenyewe itatuletea tena hasara au maana ni SIRI. TUNAHITAJI UWAZI la sivyo tutaendelea kudanganyika watz