Genuine Nordic Vodka

Genuine Nordic Vodka

Wednesday, May 17, 2017

Yaliyojiri!!!

 Pumzika kwa amani..



Mama Salma are you serioUS?
Wewe si ulikuwa mwalimu kabla ya kuwa first lady?
How can you even suggest this as a woman even worse as a Mother?
Wewe unatakiwa uwe mkombozi wa watoto wakike na Vijana period na sio mdidimizi.
Hawa wanaume wa siku hizi wanaokataa mimba au kuona kumnunulia vocha tu mwanamke ni a big deal sembuse kukubali jukumu la kulea mtoto halafu hutaki mtoto wa kike arudi shule au akatishwe,Come on i thought you were better than this!
Kama ni mimba za utotoni Wewe unatakiwa umlinde mtoto wa kike kwa sheria na sio kumkataza apate elimu kwani elimu atleast itakuwa mkombozi wake mbeleni.
Tunaambiwa mkombozi wa mwanamke ni mwanamke but sometimes I Wonder!

5 comments:

Anonymous said...

NO COMMENYS ON MAMA SALMA'S RESPONSE...AU ANGETAKIWA KUELABORATE ANA MAANA GANI...

Cute Olive said...

alisema yeye kweli? yani nimesoma mara mbili mbili

Cute Olive said...

RIP DOGO MFAUME. nakumbuka wimbo wako wa Dukani madawa haya yanamaliza nguvu Taifa Mungu atunusuru

Anonymous said...

I think anamaanisha kipindi ambacho ni wajawazito,then warudi shule baada ya kujifungua

sosoano said...

labda atarudi kuifafanua vzr ngoja tusubiri
RIP dogo mfaume