Genuine Nordic Vodka

Genuine Nordic Vodka

Wednesday, April 26, 2017

Yaliyojiri!!!










2 comments:

Anonymous said...

Magufuli nae sijui anaongea nini?Ndoa na mungano vitu viwili tofauti . Kwani Tanzania na a zanzibar wameona???

Wanawake nao wajinga mkoba wanaume wanavisent mzae nao huo ndo mwisho wenu na kuwatesa watoto wenu.

Hata akipata onyo ITASAIDIA nini na bado mnateseka kulea wenyewe.
Mwanamke Siwema bwana. Kajisemea Ney ni baba wa mtt wake. Akamkabidhi.
Kutwa mnslalamika mitandaona utadhani mlibakwa. Mnatuaibisha

Anonymous said...

Jamani jamani jamani, kama mwanaume hatoi hela ya matumizi kwa kupenda yeye mwenyewe yani kwa mapenzi yake kwa mtoto why push him that hard?????? if it takes the law to make him give child support then ukweli kutoka moyoni wacha hiyo hela ikae! siitaki, nita komaa mimi kama mama mpaka kieleweke! yani mpaka ashikwe shati ndio atoe hiyo hela??? why?? not unless mwanamke ni mlemavu as in hawezi kufanya chochote kulea mtoto wake.
It should be out of love and not by law! if he doesn't have the love then basi....... let him be! what a shame Nay sijui neema whatever your name is