Genuine Nordic Vodka

Genuine Nordic Vodka

Friday, April 28, 2017

Yaliyojiri and Am Still Wandazzz!!!







So basically Kuwa Mbunge requires only kujua kusoma na kuandika or mtu yoyote yule ambaye ni mwanasiasa hana haja hata ya kuwa na elimu ya juu,ahsante.
Babu Semhanga ulieanza shule mwenye umri wa miaka 72 Somaaa babu halafu uje kugombea jimbo lako kura yangu unayo kiroho safi..,
Kwa wengine poleni Kwa kufukuzwa kazi!,
And ya happy birthday homie chuma benzzzzz😙😙

3 comments:

Anonymous said...

So kuwa Mbunge, Mkuu wa Mkoa, Waziri unachohitaji ni kujua kusoma na kuandika tu haijalishi kindengereko au kinaniliu, Wow! Kweli Tanzania itajengwa na wenye moyo wa chuma...CinTea

Cute Olive said...

Tunahitaji moyo wa CHUMA kuelewa hili swala linavyoenda

Totoo said...

Cin Tea umenifurahisha. Kweli itajengwa na wenye moyo Wa chuma. Ngoja nikagombee ubunge kijijini kwetu Sitimbi