Genuine Nordic Vodka

Genuine Nordic Vodka

Wednesday, April 12, 2017

Naomba msimchague huyu mtu tena this is not raiti,Hayajamkuta bado!!


Namnukuu;Kina Roma kutekwa ni sawa tu na wengine kufungwa,mnaimba nyimbo za kumtukana Raisi mnategemea nini hamuoni Rwanda au nchi za waarabu wanavyofanya.
Wangenipa mimi dakika mbili tu Wangeona ningechokifanya.πŸ˜¨πŸ˜¨πŸ™†πŸ™†

Kwanza kabisa sisi sio nchi ya kiarabu yenye Sheria Law.,
Cha pili mtu mzima,mbunge ambaye umechaguliwa na watu how can you stand up there bungeni na ku support mtu kutekwa,ReallyπŸ‘€πŸ‘€
Kukemea mtu kumtukana Raisi yes nakuunga mkono kwasababu lazima KUWE na limitation mtu acha guess maneno maana mm sioni hata mtu baki tu akitukanwa ni sawa maana hamna mtu anapenda kutukanwa President or Not.

Nakuona kuwa unapenda jimbo lako na unalitakia mabadiliko but mambo ya kunyonga watu na kutekwa hiyo siwezi kukubaliana na wewe hata siku moja hebu tizama nchi kama Mexico where kidnapping ni a very big issue mpaka serikali imezidiwa na wewe mtu  wa Serikali unakisupport,hapana baba mengine usiyaombee hata kwa adui yako kwani si mazuri kabisa.Com!

4 comments:

comfort said...

Naomba watekaji wakamteke mwanae au yeye mwenyewe ndy anakapojifunza

comfort said...

Hawa ndy watekaji wenyewe.mtu mzima hovyoooo.

Anonymous said...

WAPO"WENYE MAAMUZI YA KISEN...WAPO
WABUNGE MARINDA WAPO
WAPUMBAVU WAPO
MUNGU AMJAALIE ATEKWE YY .
Huyu ndo hao hao wanaobebwa na madaraka ya kulevya. Pumbavu sanaa

Bintinyota said...

Mxxxxx atekwe mwanaye aone Utamu. Yaani unaweza kitu compare na nchi nyingine? So tunaishi kwa ajili ya watu? Raisi yy ni nani asiambiwe anapokosea?
Yes matusi hata Mtoto mchanga atanuna.
But ataambiwa tu yes tutatumia hekma na msanii kazi yake nini? Kama hataki wafunguke?

Au anataka awe kama simba aliyeloa mvua msituni akachezewa na viswala kisa muoga!!!!