Genuine Nordic Vodka

Genuine Nordic Vodka

Thursday, April 13, 2017

Mashtaka Dhidi ya Mkuu wa mkoa,waskilize!!

Namnukuu:hili joka kubwa AMBALO limegeuka na kuwa kero jijini Dar es Salaam AMBALO tumemfungulia mashtaka na sheria ichukue mkondo wake ili tuweze endelea na shughuli nyingine maana wote Tumebaki kumjadili mtu mmoja tu,asema Meya wa Ubungo Boniface Jacob!

1 comment:

Anonymous said...

Atoke wapi maskini na anafugwa na Rais wao ndio wana nchi wameitawala na wanafanya wanachokitaka kile. Hivi wananchi hawana haki kweli jamani hii inaskitisha sana yaani.