Genuine Nordic Vodka

Genuine Nordic Vodka

Saturday, April 8, 2017

KAULI YA KWANZA YA ROMA!,MSKILIZE!!



Hiki kitendo tukikemee.,
Hiki kitendo hakikuwa sawa kabisa..
Hiki kitendo hakionyeshi Usalam ana amanj tunayoingelea kuwa Tanzania inayo.,
OH Roma pole sana na kwa wenzako pia.,
Nimeona ulivyo shuka kwenye gari unachechemea sijui nimeandika sawa hili neno at that point nikaelewa something has happened.
Unaongea ila sauti na macho yako yanasema vitu viwili.
Sitaki kuongea mengi but i will say this Diamond huu wimbo timing yako haikuwa sahihi kwani kulikuwa na janga limetokea tena kwa msanii mwenzio so ingekuwa busara ungesubiri na kuna wakati skiliza vilio vya wingi kwani inawezekana this time around wako sahihi kukurekebisha pale ulipo potea njia.
Sio kila anayekukosoa ni a hater,some are your die hard fans and want whats best for you.
Nape katolewa bastola hadharani tumepuuzia meaning kwamba mpaka leo MUHUSIKA hajakamatwa alofanya hicho kitendo.
Mheshimiwa kaingia na mapolisi na bunduki kituo cha redio we are still watching
Na hiki pia cha kina Roma kutekwa bado tu hakuna hataua?
Karibuni home vijana wa Tongwe Records na Tanzania nzima imefurahi kuwaona mko salama salmon,Kärlek✌✌❤❤👈

2 comments:

Bintinyota said...

Nchi imechafuka.
Tukae kimya kwa kuwa yeye anaingia Ikulu kama chooni!!
Funzo LA mamake halikumpata vizuri, angenyamaza na Leo. Mxxxxx

Nuru huyu kaka bado yuko ktk shock tumuache tu!! Ila mchezo jinsi ulivyoenda kwa akili za haraka unaona kabisa wahusika wameona mchezo tumeushtukia mxxxxx.

Anonymous said...

Yani moyo unauma kuwaangalia.
Unaona kabisa something is really wrong with them.
Father, heal their broken hearts and bind up their wounds.
May they be restored quickly, MissY.