Genuine Nordic Vodka

Genuine Nordic Vodka

Thursday, March 30, 2017

MASHUJAA FEKI WENYE MASLAHI YAO WAPO,WAPOOOO!!!



Neno Shujaa,Neno shujaa ni neno kubwa sana na limebeba mengi.
Msipende kukurupuka na kuwaita watu mashujaa ambao hawastahili.
Msipende kukurupuka na kuwaita watu vitu ambavyo haviwafanani na vitendo vyao.
Wakati Ney katoa nyimbo nasema nao alihit sana because aliongea vitu vilivyowazunguka wengi but few sang about it.
Aliimba nyimbo inaitwa Mwanamke hapigwi but tulishuhudia jinsi Sister Fey alivyomfuata na kumuomba walee mtoto wao tena alimuomba Ada tu na alitaka kupigwa.
Majuzi tuu huyu kaka alikuwa kwenye headlines kwakuwa kamtekeleza mtoto na je kuna wengine wangapi ambao hatuwajui?
To me a man or a woman ambae hajali wanae huyo hawezi kuwa shujaa hata siku moja.
Asiyejali damu yake wewe ni nani akujali,jiulizeni na utafakari!
Ney kutoa hii nyimbo ya wapo hakuna kipya alichoongea zaidi ya kile kila mtu anajua na kinaendelea but feels hopeless because mnahisi kama vile hamna sauti.
Sauti ya nguvu mlikuwa nayo wakati wa kupiga kura tena hiyo sauti ni kitu kikubwa zaidi ya kingine chochote mtakachoandika mitandaoni,trust and believe!
Msitake kuvika watu vyeo ambavyo hawastahili.
Nimeona alot of wasanii baada ya yeye kutoa ngoma na wao wametoa my question is,Why now!
IFIKE mda MJUE kuwa kuna watu maneno yao na vitendo vyao ni vitu viwili tofauti.
IFIKE mda MJUE kuwa watu wana agendas na agenda zao its got nothing to do with you au hali yako ya sasa hivi.
Shujaa huwi by one act alone Bali ni kuwa na msimamo na maamuzi kila kukicha.
Maybe mngeput that energy ili alee damu yake kwanza kwani being responsible na kukubali majukumu yako kama mwanaume huo ni mfano tosha wa kuonyesha character ya mtu.
Siasa ni mchezo na kama mchezo wowote ULE kuna tactics za kujua kuucheza mchezo na Naam at a critical time if you play your cards right basi utatokea kama mshindi.
Watu mlishangaa kuwa wasanii wanalipwa kufanya campaign i was like eehh mko dunia gani,Who does things for free nowadays?
All in all juweni kutofautisha au kuchukulia wepesi wa kuwapa watu dhamana ya kuwaita Shujaa because kama huyu ni Shujaa Je Mandela tumuite nani!
Adui wa muafrika ni kutokuwa na Msimamo na Umoja.
Our actions speaks alot and highly about Who we are and where we stand.
A friend of mine told me That Nuru in this life time it is better to stand for something than for nothing and i coulndt agree more,Nimemaliza.com!



5 comments:

Anonymous said...

Kila unayemuona mbele za watu ukiyasikia yake yandani utakaa chini, hata huyo aliyemuita Idodomya ukiyasikia yake utaugua. Kifupi sisi wote ni wanadamu hakuna aliyemkamilifu. Ney kwa ufahamu mdogo nilionao wa maisha yake ameishi maisha magumu sana na hakuna aliyemuonyesha mfano wa kuishi kama vile tunavyoona angestahili kufanya.Ndio maana wakati mwingine watu wa namna hii kwa kujua au kwa kutojua huumiza wengine kutokana na hasira kubwa za aliyoyapitia akidhani anapata nafuu kumbe anatia plasta kwenye kidonda. Simtetei asilani bali kwa mtazamo wangu tusizime taa ya alichokifanya kwa kupenyeza mapungufu ya ubinadamu wake. Anahitaji kuelekezwa na mwelekezaji awe na ustahimilivu mkubwa kutokana na aliyoyapitia maishani mwake...CinTea

NURU THE LIGHT said...

Asante Cintea kwa maneno mazuri na mimi pia nafaham kwa undani zaidi historia yak tokea utotoni kwani nishakaa nae one and one na yeye mwenyewe kunihadithia na ndiomaana nashangaa kwann asifanye yale yeye alinyimwa kwa mtoto wake au watoto wke maana machungu anayajua.
kila itu ana masafi na machafu pia ila issue yangu mm ni yeye kutiga shujaa kwani wako wanaofanya mengi na wanastahili hilo tu kwani Ney kutoa nyimbo ya aina hii si mara yake ya kwanza na haitakuwa ya mwisho.
very good observation my dear.,

Anonymous said...

Proud mother of 3
Happily married
Blessing woman
Tukutane Shade Lounge !
I'm stay positive and happy
Mbona kukurupuka. Kumwita mtu shujaa ni vile mtu anavyomwona. Wazazi wanawaits watoto malkia au princ,Queen . Sio kwamba ndo wanavyeo hivyo.
Walo mwita shujaa kuna walichokipenda hapo.
Kuhusu Fety hayo ni mapenzi yao huwezi kujua waliachanajeee. Wapo wengi wanao kataa wtt . Hata ulaya wapo .
Usimlazimishe mtu kukubali jukumu lake kwa kuwa wewe unaona halikubaki . Fety alitakiwa aende ustawi wa jamii . Sasa nani alomsaidia mpk sasa kuhusu suala lake???

Inaonesha kiasi gani umeumia roho Ney "kuotwaa Shujaa"
Ulimwandikia Shigongo angem face Diamond kuliko kuandika instagram . Hata wewe ungemfesi Ney.
Tukia amka na kuomba God bless us. Tutabarikiwa na Tukiamka na stress za kutokubarikiwa na kuwa weka watu blogs na kuwa chambua tutaendalea kuumwa
. Tutaendelea kupata tulivyo navyo na kukosa tunavyo vitaman. Wanaoumia na maish ni wale Marafiki walokuwa ubavuni mwao wameolewa .wamejenga maisha, ma biashara wanawatoto na wame stay blessed. Ni kama Sintah alien esha blog yake ni maisha ya wenzake.Alijichelewesha . Ukimwona leo kapendeza kwani kaa cha kuamka na Roho ya korosho.
Msiwapangie watu nyie wamilk wa blog.
Wiki zilizopita uliniweke ukanichambuaaa. But mie ndo na endelea

Bintinyota said...

Asanteni

NURU THE LIGHT said...

Kuumia roho hahahhahahahah mother of 3 puliiiiiiiiiiiz. .
Kama maisha wote tunayo na kama kuwa blessied ww ni nani kumwambia mtu utabaki kuwa hivyo na maisha ya S huyajui vile umeona picha na mtu kapendeza maana wangapi dakika hii wanalia ndani ya nyumba zao nzuri na mageti..,
Nuru speaks her mind na ndiomaana umo humu kila kukicha kusoma wenzako kwani mm i talk about things i care about na hiyo ndiomaana ya blog whether u like it o not kama vile wewe unaendelea kwani mm unanionaje kuwa siendelei watu wengine bana mkishaona MNAITWA mrs ndio mnajiona mme make it in life maana ndio umeanza na hiyo sentesi..,
Unajiita proud mother of 3 halaf unakuBali mtu atekeleze mtoto au watoto mm sina na imenigusa sembuse wewe..,shame on u
Kama alimvulia nguo na kutembea nae kimwili bila kondom then lazma akubali majukumu yaani mwanamke kabisa unacoment bullshit kuhusu issue hii to me nnayetetea mtoto?
Kuhusu whats right o wrong hapo sitokaaa kimya na kama ww umemuona ni shujaa kwa kuimba taarabu that is u meeen na Ney anajua how i feel so wala isikusumbue
kuna blog inasupport bishara za watu kama hii tena KIROHO safi khaa usinichoshe na mm sichambi that is for the weak mimi naandika whats on my mind tena kiakili na sio kiupashkuna so go enjoy your husband n let Nuru the light be,you dig!
Na ww pia usinipangie na kama hupendi don Come in hereeeeeee u hear!