Genuine Nordic Vodka

Genuine Nordic Vodka

Friday, March 31, 2017

OH MARY MY HEART GOES OUT TO YOU,AND THIS TOO SHALL PASS!!

Hakuna kitu kibaya kama kujua mume wako hakupendi tena Bali hajui tu akwambiaje..
Hakuna kitu kibaya kama kujua unafight kwasababu ya penzi na ndoa yako wakati mwenzako alishacheck out siku nyingi.
Nlikuwa desperate nipendwe ndio kitu nlikuwa nalilia sana kupata mtu anipende lakini ona leo desperation yangu imenifikisha wapi.
Mume wangu wa miaka 13 leo anataka nimpe vitu ambavyo hastahili na pia anataka mengi ambayo hastahili na sasa hivi nahitaji sana ma fans wangu, mashabiki zangu waniombee na kunipa support yao kwani napitia wakati mgumu sana haya yote kaongea msanii Mary J Blige kwenye hii interview kiukweli kaongea openheartly kila anachopitia na alichopitia kwenye ndoa yake.
Mumewe ambae sasa wako kwenye process ya divorce Kendu sitaki hata kumuongelea Bali tu kusema kunguni HUJUA wapi pa kunyonya damu na pole Mary kuna viumbe duniani tunawasaidia kumbe tunawatayarisha kuja kutuumiza baadae.

Yaliyojiri!!!






WHICH ONE IS YOUR FAVOURITE!!!































THE SLIP IN LOAFER!!!



 GUCCI


 BIRKENSTOCK MAKES THE MOST COMFORTABLE SHOES IN THE WORLD AND ECCO.


HM DIVIDED 


I was so happy to find these babies because they are trending the whole summer of 2017 so am gonna look out for colourful ones aswell like red o Pink o Metallica cause these ones are gold and so so cute.
Style hii ya viatu ndio trend ya mwaka huu na summer hii Vitakuja design nyingi na tofauti so nataka za rangirangi au Metallica ones.Atleast trend hii kila mtu anaweza vaa maana viko comfortable sana.

DIVA NINI MBAYA,WHO DID THIS!!!

Ni editing au the make up artists fault!

Thursday, March 30, 2017

MASHUJAA FEKI WENYE MASLAHI YAO WAPO,WAPOOOO!!!



Neno Shujaa,Neno shujaa ni neno kubwa sana na limebeba mengi.
Msipende kukurupuka na kuwaita watu mashujaa ambao hawastahili.
Msipende kukurupuka na kuwaita watu vitu ambavyo haviwafanani na vitendo vyao.
Wakati Ney katoa nyimbo nasema nao alihit sana because aliongea vitu vilivyowazunguka wengi but few sang about it.
Aliimba nyimbo inaitwa Mwanamke hapigwi but tulishuhudia jinsi Sister Fey alivyomfuata na kumuomba walee mtoto wao tena alimuomba Ada tu na alitaka kupigwa.
Majuzi tuu huyu kaka alikuwa kwenye headlines kwakuwa kamtekeleza mtoto na je kuna wengine wangapi ambao hatuwajui?
To me a man or a woman ambae hajali wanae huyo hawezi kuwa shujaa hata siku moja.
Asiyejali damu yake wewe ni nani akujali,jiulizeni na utafakari!
Ney kutoa hii nyimbo ya wapo hakuna kipya alichoongea zaidi ya kile kila mtu anajua na kinaendelea but feels hopeless because mnahisi kama vile hamna sauti.
Sauti ya nguvu mlikuwa nayo wakati wa kupiga kura tena hiyo sauti ni kitu kikubwa zaidi ya kingine chochote mtakachoandika mitandaoni,trust and believe!
Msitake kuvika watu vyeo ambavyo hawastahili.
Nimeona alot of wasanii baada ya yeye kutoa ngoma na wao wametoa my question is,Why now!
IFIKE mda MJUE kuwa kuna watu maneno yao na vitendo vyao ni vitu viwili tofauti.
IFIKE mda MJUE kuwa watu wana agendas na agenda zao its got nothing to do with you au hali yako ya sasa hivi.
Shujaa huwi by one act alone Bali ni kuwa na msimamo na maamuzi kila kukicha.
Maybe mngeput that energy ili alee damu yake kwanza kwani being responsible na kukubali majukumu yako kama mwanaume huo ni mfano tosha wa kuonyesha character ya mtu.
Siasa ni mchezo na kama mchezo wowote ULE kuna tactics za kujua kuucheza mchezo na Naam at a critical time if you play your cards right basi utatokea kama mshindi.
Watu mlishangaa kuwa wasanii wanalipwa kufanya campaign i was like eehh mko dunia gani,Who does things for free nowadays?
All in all juweni kutofautisha au kuchukulia wepesi wa kuwapa watu dhamana ya kuwaita Shujaa because kama huyu ni Shujaa Je Mandela tumuite nani!
Adui wa muafrika ni kutokuwa na Msimamo na Umoja.
Our actions speaks alot and highly about Who we are and where we stand.
A friend of mine told me That Nuru in this life time it is better to stand for something than for nothing and i coulndt agree more,Nimemaliza.com!



Such A Beautiful Love Story and A solid Marriage,Great Interview!!!

Muigizaji Van Vicker akiongea mengi kuhusu mkewe,familia na uigizaji.
Kaongelea alipokutana wapi na vipi na mkewe mpaka siku wakaamua kuwa kitu kimoja.Na je wanamanage vipi vile mumewe yuko kwenye movie industry.
Van Vicker is an ACTOR and here its an interview where he talks about marriage and how he met his wife plus so much more.

MAKONDA VS MWAKYEMBE!!!

Millardayo.com

WOMAN ALBUM LAUNCH TOMMOROW AT KING SOLOMON HALL!!!


WHO ROCKED IT BETTER,TOP BY KATTYCOLLECTION!!!