Genuine Nordic Vodka

Genuine Nordic Vodka

Wednesday, November 23, 2016

The Camp!!!





3 comments:

Anonymous said...

Shida ni kwamba walengwa/mlengwa hataelewa coz atapanic kama kawaida ya mtanzania na kutumia maneno mengi kuprove wrong yote yalioandikwa (tatizo kubwa la wasanii/watu maarufu tz) badala ya kukaa akimya na kufanyia kaz yanayobidi ili kaz iwe nzur.

Anonymous said...

Wame mchefua wacha atapike mara moja siyo mbaya. Kisha hata endelea na game kama kawa Dai yuko pale pale kwenye ubora wake mtasubiri sana. Wame chezea shurubu za simba unategemea nini?

Anonymous said...

Duh, ameongea hadi nimesikia raha. Mengine ni kuyaacha yapite maana kukaa kimya ni jibu la mjinga. Wamejua kuchokonoa na yeye kachokonoka. Winnie