Genuine Nordic Vodka

Genuine Nordic Vodka

Monday, November 7, 2016

OK THEN!!!





8 comments:

Unknown said...

Ukimya una maana nyingi sana. mimi naomba Muna aendelee kukaa kimya hivyo hivyo maana akiongea sipati picha hilo patashika, japo sijui tatizo limeanzia wapi ila bora tu akae kimya. Na ni upuuzi sana mashosti kugombana afu wanaanza kusemana mambo yao waliyokuwa wanafanya. mbona wakati wanafanya hawakutangaza? afu na utu uzima wote huo!!shame! acha tu nikae bila shost, nitaongea na kila mtu na kucheka na kila mtu ila yangu ya ndani acha tu yakae ndani.

Anonymous said...

Hiv wadau shida ipo wap mbona wenzetu wakibahatika kupata platform yoyote ile wanaitumia vizur sanaa. Kama bigbrother hata wale ambao hawakushinda kama kina Pokelo, samantha ,yule mshindi wa pili baada ya Idris wanatumia vilivyo kujitangaza na wanafika mbali. Hiv idris ni wakushinda insta kujibu kila post kweli ni hakuna washauri wazur au ni nini jaman. Tujadilini haya mambo jaman daah!

NURU THE LIGHT said...


Anon wa 5.55 nakuomba usiniweke kwenye wakti mgumu acha nikae kimyaaaaa yaani hata sijui nianze wapi naomba tu nikae kimya.com

Anonymous said...

Nuru nachukia sana wanaume wanao coment kila kitu na pia wanaume wenye mipasho kama waimba taaribu,mi nilikua na X tumeachana mbona nimekoma kwenye magroup na pia alikua ananisema vibaya utafikiri hajawahi lala na Mimi ila nilichukua uamuzi wa kunyamaza

Mwahhy said...

I'm not a robot...napita

Bintinyota said...

Hakuna Fimbo mbaya kama kimya!!!
Duh.

Siamini kama yule binti kawa Chskubimbi ay ay ay hii mitandao inaongeza stress jwao na kuondoa stress kwa kina wapita njia tu kama sisi. Lol

Kweli michezo mingine haitaki hasira

Bintinyota said...

All in all.
Wema ajichunguze weakness yake na aibadirishe, koz haiwezejani yeye tu kila siku. Kama abakuwaga Bushoke kwa mashost basi aache, na kama ana mapungufu mengine ajirekebishe, ila ingekuwa Mimi ningemshauri aachane na mashost kwani ulizaliwa nao? Walikuwa wapi miaka yote ukiwa Mtoto mpaka hapo? Piga kazi wewe nyota nyota yaweza ng'aa lkn nguvu zinakwisha hizo,.

Anonymous said...



mashosti mara nyingi wanakwaza tena ushosti ukishazidi zaidi ya wawili baasi kwishney , kwa kuwa vidole havilingani, so wote hamtakuwa na maisha sawa, hapo ndo uchonganishi, uzandiki, unafiki unaanza, hawsa ule urafiki wa kugandana kama ruba - ambutterfly