Sometimes mtu akiwa kanywa ni bora AKAE kimya,,
Anyway wanasema binadam husahau UPESI sana na UKIMYA pia ni jibu,,
Unaecheka nae kwenye raha basi hata mkigombana yamalizeni wenyewe kwani hizi kauli zitazua mengine tena,Lets or I hope mtayamaliza kistaarabu.
10 comments:
Its hard kuyamaliza kistaarabu kwakuwa utoto umekuwa mwingi, imekuwa kuitana washamba tena jamani wakati wote mmekutana hapahapa mjini??? Loooh kwakweli hapo ni ya ngoswe tumuachie ngoswe mwenyewe...TNS
Aisee, kazi kweli kweli..
AM...
Hivi ni pombe au sifa zikizidi huwa ujinga....kwani ukigombana na shoga yako ukapiga kimya itakuwaje, alafu kesho mkielewana.
AM...
Na huyu shade sauti yake na professional yake haviendani... Lakini ka dada kazuri tu.
AM..
Jamani yaaani sijui kuna ibilisi gani kwa huyu binti sepetu, mbona mambo yake ni kushoto kushoto? Biashara sake haziendi, mabwana ndo upuuzi mtupu,kwakweli angekua mdogo wangu ningemchapa makofi lives..she needs to get her life together she not 18yr old no more
Kila rafiki akigombana nae ye ndio anakua victim ,a weaker party...!mwamini
Sasa yeye ndy anaonekana chiz kabisa si angenyamaza tu.
Diamond alisemaga anaendekeza pombe na strehe na umaarufu usio na tija hakukosea. wamegombana wangeyamaliza na sio kuyaleta mitandaoni kuna faida gani? umri wenyewe ushaenda huo!
There is something is not ok kwa Wema. Anyway as somebody said ya Ngoswe.................
Duuuh sikutaka kusikiliza lkn aaghrrrrr why?
Naona IDD katoka nduki
Post a Comment