Genuine Nordic Vodka

Genuine Nordic Vodka

Wednesday, November 2, 2016

Basi Sawa!!!





MWANAUME ALIYE KILA PAGE NA KUKOMENT WA NINI,SHIIIT?

UKISHAAMUA KUWA RAFIKI NA WEMA BASI JIANDAE KWA LOLOTE KWANI NILIANDIKA LAST WEEK KWAMBA IT!S A GIVE AND TAKE SITUATION SO UJITAYARISHE KWA LOLOTE BOTH POSITIVE AND NEGATIVE.
KINGINE HII TABIA NIMEIONA KWA WENGI NA NILILIONGELEA ZAMANI KUWA MTU ANAONA BORA KUPOST MARAFIKI ZAKE WA MJINI NA WATU MAARUFU KULIKO FAMILIA ZAO,JIFUNZENI KUPENDA NA KUWA NA FAMILIA ZENU ESPECIALLY WALE FAMILY MEMBERS MNAOJALIANA NA KUPENDANA KWANI EVEN FAMILIES SIO KILA MTU NI MZURI SASA AIBU KAMA HII YA NINI MTU ANAPOST KILA MTU NA MAMA YAKE UNAANZA KUWA TOPIC INSTANGRAM NZIMA WHY?
PENDENI,THAMINI NA KUJALI DAM ZENU KWANI UNAAMBIWA CHARITY BEGINS AT HOME ILA BONGO NISHASHUHUDIA MARA NYINGI MTU NJE ANASAIDIA LAKINI KWAO HANA HATA MDA INASIKITISHA SANA.
KWA WALE MNAOTOA NA KUJALI KWENU NA FAMILIA ZENU BIG UP SANA!!

14 comments:

Anonymous said...

Ushoga mjini ni kazi huyu Muna anatukanwa maskini ila kweli kila siku unakosewa wewe tu Wema mmmh kuna kitu huyu Wema nae hakiko sawa kwanini hadumu na marafiki

Bintinyota said...

Umeniacha njia panda paleee kwa munax_BBB

But why hatujikubali na kuthamini vyetu?

The Light Mimi now ndiyo nazidi kupigia mstari, Family is all a person can DIE for.
Akitokea MTU anakutenganisha au hayuko proud na familia yako, huyo mkimbie.

Anonymous said...

Mmmmmmh mi nimechoka kabisa, Muna alivyoanikwa mpaka ugomvi wake na mama yake ukafukuliwa. Watu wamekumbushia mpaka alivyoandaa msiba wa baba yake kwake na mama akaandaa kwake kisa yeye hapatani na mama yake na kudai kuwa mama yake mzazi hastahili kurithi mali za baba yake. Mmmmmh ntasutwa sas, mdomo komaaaa. Winnie

NURU THE LIGHT said...

Ni mtu ana tumia account jina kaandika wemasepetux halafu kampost Muna ndio Wema kajibu.
Nilishamkimbia Bintinyota jipu moja hahahahah eti hataki niwe na my fam ushuzi hayawan kweliii si Laana kama sio nuksi.com nlikimbia kama husen Bolt👈

Winnie komaaaaaaa hahahahaha

Anonymous said...

Jamani huyu idriss ni anakeraaa...kila kichaka kajaa yeye mpana hata mambo yasiyomuhusu, khaaaah ana time kweli ya kujibishana na wanawake kama le mutuz
1

Anonymous said...

Idris namtetea bado mtoto in adult world kwa hiyo kwake anaona sawa na umri unamruhusu. Wanasemaga thamini chochote kitu chako japokuwa kwa wengine ni kibaya lakini mwisho wa siku kitakusitiri aibu yako nacho ni ndugu zako wa damu. Asiyetengeneza na mzazi haswa Mama maisha yake hayatakuwa mazuri, sasa Muna kama alikuwa anadandia Mama wa watu wakati wakwake anaye hapo kakosea na kama alimkosea Wema ana haki ya kusema kila mtu na Mama yake, maana spidi za Muna naona alitaka kumzidi hata mwenye Mama kwa Mama yake...CinTea

Bintinyota said...

Hahahahaha wacha tujiondolee machubu ya siku, Dar kuna vijimamboo

NURU THE LIGHT said...

Cintea kwann wasiyamalize in private?
Hawa ni watu wazima wangekaa wakaongea bila jamii kujua na Idris wala simuongelei mm mwanaume aliyebusy hivi mitandaoni its a big turnoff,,tantaritantariraaaaa ahhhh too much in darasa voice ichek hio nyimbo hahahhahahahah

Anonymous said...

Mimi kila siku nasema unamuweza vipi mwanaume kutwa yuko kwenye mitandao yani akitoka Facebook, yuko Instagram , mara kwenye blogs...hayo mambo ya kike huyo mwanaume ujue mbea au kazi yake kutwa uko ni kutongoza...msonyooooo .....
Mambo mengine ya mjini mie siyajui ata nikisoma mara mia hapa sielewi, hahahahahah!!!! Kwanza Muna ndio nani LOL!!!!!
Thanks Nuru kwa habari za mjini Dar
AM....

NURU THE LIGHT said...

Ahsantteeeeee Am ndiomaana nakupenda either ni kambea au tongozaring too much ahhhhhh tantaritantariraaaaa,ur welcome

Anonymous said...

Tatizo la hako kakijana kanapenda sana attention na ndio maana sehemu zote za umbea umbea utamkuta. Hana cha utoto wala nini angekuwa mtoto asingeshiriki big brother labda kama ndio wale anakuwa mwili akili anaacha nyuma mfwuuuuuu zake. Haya huyu nae anayetukuza mama wa wenzake kumbe mama yake mzazi yupo, kuna ugomvi gani wa mtoto na mama yake usiokwisha???!!! Atafute watu akamuombe mama yake msamaha hata kama mama ndie aliyemkosea lakini mama atabaki kuwa mama akome na yeye kudandia mama wa wenzake wakati wake kamnunia chefuuuuu nae mfwuuuuu zake. Na huyu bi dada nae mbona anajua kujipa hila maana kila rafiki kwake mbaya khaaa mbona ana dada zake kwanini wasiwe ndio marafiki zake kutwa kukokotana na watu naye wacha yamkute maana anakiranga cha marafiki na inawezekana yeye ndio anatatizo. Ushoga wa mjini kazi kweli kweli watoto wadogo wanaimani za kishirikina mfwuuuuu zao...TNS

Mwahhy said...

Mtu anayetumia nguvu nyingi kuwachekesha wenzie, ni yule ambaye yupo depressed kuliko..Maybe hata Idris yupo na hali hyo wala sishangai
Mjin sihami ng'o

comfort said...

Huyu Wema nae atakuwaanatatizo mahali flani huwezi kugombana na kila mtu pia kwanini ugomvi wake na shoga zake anapenda kuuweka hadharani kila mtu ajue si wamalizane tu huko.Huyo Idriss umbea na utongozaji ndy unaomfanya ashinde anacoment kila sehemu wala sio mtoto.

happie said...

hahahahahahaha...yani acha nicheke tu maana.