Genuine Nordic Vodka

Genuine Nordic Vodka

Saturday, October 22, 2016

The winner!s!!!










HII TWEET IMONGEA KILA KITU DAH,,
THIS TWEET SUMS UP THE WHOLE SHOW,,
HII IWE SOMO KWA KILICHOTOKEA JANA KWA AFRIKA NZIMA
UMOJA NI NGUVU NA,,,,UDHAIFU.
MKIVOTE KI TEAM THIS IS WHAT IS GOING TO HAPPEN OVER AND OVER AGAIN,,
IFIKE MDA MJIFUNZE KUWA WAZALENDO KWENYE MASHINDANO MAKUBWA KWANI UDHAIFU WENU NDIO UNAWAPANDISHA WENZENU NA LEO MKIKAA KWENYE PASSENGER SEAT HUKU WENZENU WAKIWA MADREVA WAKIENDESHA MZIKI WAO KUKUWA KILA KUKICHA,,
INASIKITISHA ILA AFRIKA BADO TUNA SAFARI NDEFU KWANI HATA MASHINDANO JANA IMENEKANA WAZI KUWA ILIKUWA KATI YA NIGERIA VS SOUTH AFRICA WHICH MAKES ME THINK HOW AUTHENTIC ARE THESE AWARDS TO BEGIN WITH MEANING HAYA MASHINDANO YANA UHALISIA KWELI AU,ACHA NILALE SASA MASWALI NI MENGI NA WA KUNIJIBU SINA!!

6 comments:

Anonymous said...

Watanzania tumekuwa na roho mbaya mpaka shetani anatuogopa. Watu wanafurahi kuona wasanii wao wamekosa tuzo badala ya kusikitika. UKo wapi umoja wetu kama nchi, uko wapi uzalendo?. Ila sasa hata hawa wasanii na wao ifikie mahala wajue huu mchezo wao wa mabeef sijui machicken unaanza kuwacost. Wabadilike Ally na Diamond waamue kufanya kazi pamoja watoe kitu kizito waone kama kutakuwa na huuu ujinga unaoendelea sasa hivi. Mfano mzuri Wema alipoamua kumsupport Diamond nini kilitokea si kwamba team yake ikabaki njia panda mwisho wa siku ikabidi wawe wapole tu. Hii inatakiwa kwa hawa mafahari wawili nao wafanye hivyo. Kama bifu ilikuwa ni kwaajili ya kumpa kiki msanii mmoja apande (which I am not sure) basi imetosha sasa waungane wafungue chapter mpya. The bad thing hata wasanii wa nje wameshajua huu upupuuu wa mateam itafikia kipindi wataanza kudharauliwa na wasanii wenzao. Nyie vijana hebu amkeni acheni utoto isingekuwa hii miteam yenu tuzo mngezileta nyumbani. Mfwuuuuuuuu zenu mnakera sana. Na nyie mameneja hivi mnafaidika na nini hawa wawili wakiwa kwenye utengano? Pigeni kazi pamoja mziki wetu uweze kukua sio nyie ndio mnakuwa mashabiki wa kwanza kufurahia kinachotokea na wakati mwingine kukitengeneza ili tu kuchafua hali ya hewa, mfwuuuuuuu zenu na nyie watu wazima hovyo...TNS

Anonymous said...

WATANZANIA VINYONGOOO NA ROHO MBAYA NDO ZITAZOTUFANYA TUWE NYUMA KAA MKIA.
UKITAKA KUVOTE UNAZINGY KWA NA NEGATIVE THINGS KILA KONA.
ROHO MBAYA ZIMEJAA MPAKA KWA WANAMZIKI WETU.MTU ANAONA NIMWINUE FULANI NA FULAND NIMDIDIMIZE.WANASAHAU RIZIKI SIO KTK MZIKII TUUU. NA MTOAJI NI MUNGU TUUU HATA UFANYAJE .
TENDERER KUVOTE WA SOUTH NA WA NIGERIA NA MWAKA UJAO .
TUTABALI TULIPO KAMA ILIVYO MASHINDANO YA MISS TANZANIA KWA SASA.
ROHO MBAYA HAZIJENGI

Anonymous said...

Sory kwa uandishi.
Nimechukia nikajikuta naandika bila kurekebisha.
Watanzania tunamauzi Sanaa tena sana.Tuko wengi hatushindwi kupeperusha bendera yetu. Mond hawajampa nyingi kura kwa sababu alileta mashauz Mara ya mwisho .
Nury ukifatilia nyumbani hata vipi ndo vya TV.Radio bado vya kiswahilI. Tunachambana ,kurekebisganns,kuadhiriana Sijui tunashindana miaka 100 waloishi Firaau

Anonymous said...

Umenena. Ila watanzania tunaishi kama mitikisiko ya pwani.
TuNaimani juu shims köpa za sauti mcchambe Mtu makavu live Sijui.
Utasikia :
IMEPENYAÀAA .shule iko nyuma
Maendeleo NYUMA
Uswahili TUUU.
Tutaendelea kusema Imepenyaaana hivyo hivyo.
Roho mbaya
Wivu
Chuki
Mashauz
Kujigamba
Kutambiana
Vinyongo
Vitatuachane tulipo

anonymus said...

Hiyo inaitwa roho mbaya ya kumeza mtu mzima mzima..!mwamini

Anonymous said...

Nilichogundua WaSoza ni bendera fuata upepo , nchi inayofanya hits nzuri nao wanaungabodi nyuma either sijui ndio mnaita kushoboka ama support au appreciate hata siwasomi, there was a time Kora ilikuwa ni Wasoza na Wacongo for years sasa hivi naona wamehamia Nigeria anyways bado tunayo nafasi nzuri sana muziki wetu unapiga hatua kila kukicha haswa tukiacha ujinga tukaweka uzalendo kwanza...CinTea