Nuru hivi una hand bags ngapi? nahisi naanza kukuonea wivu. Umependeza sana na hako ka sketi. Winnie
nimependa ulivyovaa...umependeza sana!
Cjui watu mnaoishi majuu mnapakaga nn jmn? Co kwa mvuto huo Nuru en umepungua vizur had raha. Bas mkirud mtuleteage mnavyopaka nasie tuwe na ngozi nzur maana mtu unakuwa kama mamba alokufa..Unogileeeee
Nuru kamkoba katamje sasa.!
Mwahija yan tumepauka utafkiri hatuogi kiruuu Nuru mwaya umenogaaa
Bongo vumbi balaa ni kupauka kwa kwenda mbele,sasa urogwe upake hayo ma migorogo ndio balaa zaidi.!
Thank you all,,
Post a Comment
7 comments:
Nuru hivi una hand bags ngapi? nahisi naanza kukuonea wivu. Umependeza sana na hako ka sketi. Winnie
nimependa ulivyovaa...umependeza sana!
Cjui watu mnaoishi majuu mnapakaga nn jmn? Co kwa mvuto huo Nuru en umepungua vizur had raha. Bas mkirud mtuleteage mnavyopaka nasie tuwe na ngozi nzur maana mtu unakuwa kama mamba alokufa..Unogileeeee
Nuru kamkoba katamje sasa.!
Mwahija yan tumepauka utafkiri hatuogi kiruuu Nuru mwaya umenogaaa
Bongo vumbi balaa ni kupauka kwa kwenda mbele,sasa urogwe upake hayo ma migorogo ndio balaa zaidi.!
Thank you all,,
Post a Comment