Genuine Nordic Vodka

Genuine Nordic Vodka

Sunday, October 23, 2016

OUR FELLOW TANZANIANS AT THE MTV MAMAS!!!




DIAMOND PLATINUMZ WORE A COSTUM MADE TUXEDO BY SPESHOZ,,
DIAMOND MACHONI MWANGU HAKUNISUPRISE ALIPENDEZA NA MAVAZI YAKE ILA I DID NOT GET THE WOW FACTOR BUT HE LOOKED SHARP.
ALIKIBA WAS WEARING AN LMT TAILORED TUXEDO BUT I FEEL THAT THE JACKET WAS NOT FITTED PROPERLY BUT HIS SHOE GAME WAS TO DIE FOR.
ALIKIBA ALIVAA LMT SUTI LAKINI KOTI LA SUTI HALIKUMKAA VIZURI NAHISI FITTING ILIHITAJIKA.
SAUTI SOL LOOKED DAPPER IN THEIR VELVET JACKETS,,
SAUTI SOL WALIPENDEZA SANA KILA KITU ONPOINT,,
KIATU ALICHOVAA ALIKIBA,,
IDRIS SULTAN LOOKED SHARP AS ALWAYS..
SANCHOKA WAS MY PERSONAL FAVOURITE AND THEE BEST DRESSED FROM TANZANIA SHE TRULY SUPRISED ME AND WAS WEARING ELISHA RED LABEL!!
SANCHOKA ALIPENDEZA MNO NA KWANGU MIMI NDIO ALIYEPENDEZA KUTOKA TANZANIA KATI YA WOTE NA DESIGNER ALOMVALISHA NI ELISHA RED LABEL.

JOKATE MWEGELO WAS WEARING LAVO DELAMO DESIGNS,,
BARAKAH DA PRINCE WITH HIS NAJ AND ALIKIBA WITH HIS JOKATE,,


 NAHREEL AND AIKA EQUALS NAVYKENZO
KIUKWELI WAMENIANGUSHA KWENYE MAVAZI,,
I LOVE AIKA NA NAHREEL BUT THEY NEED ASSISTANCE ON THIS
WALITAKIWA WAWE COLOUR CO-ORDINATED MEANING KAMA AIKA KAVAA GOLD BASI NAHREEL ASINGEVAA SILVER EITHER ANGEVAA WHITE AU GOLD NA BLACK BUT HEY THEY LOOKED OK,,


ALIKIBA ONSTAGE 

DIAMOND PLATINUMZ ONSTAGE,,
RIO PAUL AT WIZKIDS PRE-PARTY,,,

HUYU HATA SITOMUONGELEI MAANA NAONA KAMA NAPOTEZA MANENO YANGU TU SO NAWAACHIENI NYIE MAANA HATA KAMA HAKUTAKA KUVAA KIHIVYO STILL KUNA MAVAZI ANGEWEZA KUVAA NA KUONEKANA KATOKELEZEA,NIMEMALIZA.COM!!

6 comments:

Anonymous said...

Kwani picha ya mwisho nae alikuwepo? Daaah kwanini lakini, ndio kuvaa gani utafikiri anakwenda coco beach kula miogo ya pilipili!!!!! Yaani kadizainiwa nguo za fiesta kashindwa kudizainiwa nguo ya red carpet????!!!! Bora Nuru uliyeamua kukaa kimya kwa maana mmmh...TNS

Anonymous said...

hahaahaha!!!!
tatizo hawa mastaa wetu hawataki kuajiri mtu maalum kwa kazi ya kumremba au wanaweza hata kubook make up artist aende nae huko majuu for that special event,
nimemaliza dot.com

Anonymous said...

Hivi hakuna zile emoji za kuziba mdomo? Shishi kama anaenda kwenye mazoezi ya netball wallah. Winnie

anonymus said...

Shishi ni shida gette!mwamini

Unknown said...

mmh kweli ni kituko. Shishi alikurupushwa club au? Events nyingine sio za kuchukulia simple like that jamani au alikosa hela ya kununua nguo? au ni basi tu kutafuta kick? mmh jamani nitajiuliza maswali mengi ila jibu analo yeye. To be honest that is big no.

NURU THE LIGHT said...

Yes alikuwepo mtv mamas kumsupport Diamond,,