Genuine Nordic Vodka

Genuine Nordic Vodka

Wednesday, October 26, 2016

BY FREDRICK BUNDALA!!!


Bongo5.com

4 comments:

sosoano said...

jaman huwa nampenda huyu kaka mpk basi
yani hata kwa mkopo tu anioe kahh!!!!
mana sio kwa kupenda mie
yani kwa naijeria namuona bonge la handsom balaa kuliko, afu hanaga makuu
da nuu naomba namba zake basi nimtwangie hata nipige tafu ya voda nitatumia
yani kwanza akipokea simu siku hiyo silali, nitakopa mkopo bank nimfuate

da nuu fanya unitafutie namba zake pls niko seriaz kweli

Anonymous said...

Aisee kumbe tuko wengi...napenda mziki wake, yani namkubali Wiz
AM...

Mwahhy said...

Asanteeee!!!!!

Cute Olive said...

Mdau ameongea point kubwa mnooo mateam wote waelewe kura tumepiga ila kuna vigezo muhimu kwakweli ni hake yake kushinda na waliotuwakilisha Tanzania wote ni washindi na safari hii Tanzania imeonekana maana wasanii wetu wameongezeka kwenye tuzo hivyo jina linakua.