Genuine Nordic Vodka

Genuine Nordic Vodka

Friday, September 16, 2016

NEW HAIR-DO,NEW YUDA!!!





4 comments:

Anonymous said...

da nuru nisaidie hivi huyu Yuda huwa anafanya kazi gani mana kutwa kwenye social media hakuna cha maana zaidi ya yeye na huyu andunje wake aliyekomaa utazani alikuwa anakula matofali,
waige mfano wa akina jnmengi na nancy na zeze na kiki na yule sophia, faraja, nasreem wako bize na biashara hata IG zao mara chache wameweka wamevaa nini mara nying wanaweka wanavyofanya kazi za kijamii, sasa njoo bongo muvi shida tupu, sioni hata wakuiga mfano wake

Anonymous said...

Nimekupata ila UKITAKA usimuone unatakiwa usiingie site zao .na wewe tafuta cha kukuweka busy badala ya kuwachungulua wanaokukera .
Watanzania tuko nyuma wengi wao wanataka kujionrsha walikula nini au wamevaa nini? Uniingia wenzetu wa nchi nyungine ni biashara . Ila mie siingii kwa anaenikera hata niweboring kivipi ndo nakushauri na wewe

Tabi said...

Yaani hili jina la Yuda mie linaniacha hoi halafu limemkaa vizuri ��,anyway kapendezaa na nywele zake

Anonymous said...

wewe mimi sio kama wewe wa kuingia kwa site zao, mimi nimeingia kwa blog ninayoipenda na siend kwa IG zao hata mara moja,
ujinga huo fanyeni nyie,
and before sijamaliza jua hili kuwa sio kila anayekoment hana kazi, nina kazi nzr tu, nimekoment kama msomaji mwngne kinachokuuma nini,
shida watz hamtaki kukoselewa wala kupewa ushauri ndio mana tunabaki masikini,