Genuine Nordic Vodka

Genuine Nordic Vodka

Tuesday, September 20, 2016

MAYBE JUST MAYBE WE CAN BEGIN TO HOPE AGAIN!!!



DOCTORS MET TO TALK ABOUT WHERE WE ARE NOW AND HOW TO MOVE FORWARD WITH THE TREATMENT AND MEDICATION,,
INLIFE At TIMES WE LEARN THROUGH OTHERS EXPERIENCE.

Sometimes huwa nakaa nafkiria je Uncle yangu angekuwa peke yake huku Ughaibuni ingekuwaje?
JE wale waliopo Ughaibuni bila ndugu au mume au mke inakuwaje akikumbwa na matatizo na ana marafiki jina tuu je inakuwaje?
Kuna umuhimu wa wageni wote wanaokuja nchi za watu kuwa na taasisi,chama au organisation ambazo zinasaidia watu sio kifedha tu Bali kwa vitu mbali mbali maana kuna vitu usimuombee hata adui yako ni mtihani ambao si wengi wanaweza kuusurvive.
Kwa mlioko Tanzania at times kuweni pia waelewa kwa ndugu zenu kwa maana kwa yoyote yule ambaye amekuja nje kutafuta HUSUSAN yule ambaye anawajali kiuchumi na kuwakumbuka basi wekeni hata buku mbili mpigieni simu sio mnasubiri tu yaani hata buku vocha ssa hivi unaongea na mtu na kumjulia hali anakuwa anafurahi na yeye sio mkipiga ni wakati wa shida tu maana kuna vitu hautokuja kuvielewa kama haujaishi nje,,
Kuna watu wanafanya kazi mnooo na kujinyima mengi ili ndugu zao wasome, wazazi wao waishi maisha mazuri na mengineo mengi,,
Kuna waliokuja ulaya wakajinyima na kusema ntakula mkate na chai kwa mwaka ili atimize malengo yake na akafanya hivyo na leo yuko Tanzania living like a boss,,
Kuna waliokuja na kupata elimu yao na allhamdulillah wakaipata na leo wako na kazi zao na vyeo vyao back home,,
All in all tujaribu kuwa waelewa kuwa kila mtu kwenye dunia hii anatafuta ila utafutaji wetu hutofautiana and its alright kwani hata vidole vyetu hutofautiana lakini bado tunaweza kula na kushiba,nimemaliza.com

3 comments:

Tabi said...

Well said Nuru,Kuhusu mawasiliano hata Mimi huwa naumia mno usipopiga sim au msg hakuna anaekupigia au hata msg ya kusema unaendeleaje?utatumiwa msg au kubipiwa hata saa nane za usiku pale wanapoitaji msaada.Mungu ni mwema naamini atafanya miujiza tuzidi kumuombea Uncle Sam.

Anonymous said...

Word. Love u girl.

NURU THE LIGHT said...

Love you back😚😚😚
Tabi mpenzi hauko peke yako wako wengi but mungu ndio mtoaji so we fanya na barka hutoka kwa mungu😍😍😍