Genuine Nordic Vodka

Genuine Nordic Vodka

Sunday, August 14, 2016

USIKU WA VIGOMA,ENJOOOOOOOOOY!!!

Kibao kata kilikuwemo,,
Kisingeli kilikuwemo,,
WEMA NA MUNA LIVE ONSTAGE WAKISUGUA WATYUUUUUU,FULL RAHA.COM!,
Millardayo.com

7 comments:

Anonymous said...

Ooooh my God chura please naomba green tea nishushie sio kwa viuno hivyo vya mrembo wetu aliyewahi kuwa Miss Tanzania. I love her dearly but I think kuna kitu sijui kinatakiwa kubadilika naona value yake ni kubwa kuliko anavyojiweka, just thinking out loud I might be wrong.

NURU THE LIGHT said...

Halafu wakatunyima mauno ya snuraaaaa churaaaaaaa whyyyyyyyy!!!
Nimekuelewa asingejitupa vile chini sema nahisi kwavile ilikuwa shughuli yake aliona apaswe afanye hivyo,,,

Anonymous said...

hivii mtu kukata kiuno value inapungua vipi wale wanaoiba waume za watu ambao nyie mnawaona ndio miss tanzania wenye class but wameolewa kwakuvuruga ndoa za watuuuuuuuuu hebu tuweni wakweli watanzania tuache kuwa bias na tuwache kila mtu aishi maisha yake. aliandaa blacktie uliona akikata kiuno so kila jambo na wakati wake. fyuuuuuu

Bintinyota said...

I think she has to her / she has to be herself not Mchina Wema.

Hivi ndivyo alivyo class yake itabaki kuwa class. Tukumbuke huyu ni msanii, hapo yuko kazini.

Imagine kama ni movie?
Na hapa yuko kazini.
Hata kama hivyo sivyo alivyo, but ni kazi.

Bintinyota said...

Wasuuuze

NURU THE LIGHT said...

Hahahahahha binti nyotaaaaaaa

Bintinyota said...

Kwani Light umesahau kama huyu aka OMO? Atusuuze tu