Genuine Nordic Vodka

Genuine Nordic Vodka

Tuesday, August 23, 2016

UKITAKA KUJUA KITU KISKILIZE KWANZA ILI UJIFUNZE KABLA HUJAKIKEMEA!!!

why ni muhimu kujua watu wamelala na wanawake au wanaume wangapi,,
Sexuality haina uhusiano wowote na idadi ya watu ulolala nao at times mnaconcetrate na vitu vy kijinga as opposse na what really matters,,
Huyu kataka kuongelea kuwa yeye ni Gay na sio wanawake wangapi au wanaume wangapi kalala nao maana hii nimeona hata kwa Gigy ndio kilikuwa kinajadiliwa mnoo kuwa au kujua idadi ya  kalala na wangapi badala mngeconcetrate na MALEZI, MALEZI NA MAZINGIRA,,
Gigy aliongea vizuri sana vitu vilivyomfanya afikie hapo,,
Huyu dada pia kataka kuongelea situation yake lakin wapi ma reporter wamekazania idadi,je umeolewa,je kuna staa ambae ushawahi kulala nae geeez useless kabisa,,
Mtajuaje au kujifunzaje kama HAMJUI kuskiliza let alone kuuliza?
Kila kitu mnataka kurepoti kwenye angle ya kiudaku,,Sad Sad
Mtoto mdogo lakini anaongea point na angepewa a forum angeongea zaidi,,
Kaongelea boarding je hilo hamkuona umuhimu kulijadili wakati watoto wenu wa kike wengi wako boarding.
Kaongelea swala la watu kujouza, Kaongelea mwanaume SURUALI tu ambae mkewe ndio anamlea ili mradi tu waishi kwenye ndoa for what?
Aisee Anyhow all the best mdada maana unataka kuachana nayo na kuanza maisha mengine,,

2 comments:

Anonymous said...

Mi naona interview zetu baadhi ni kuulizana mambo ya kijinga na kipuuzi mnooo..eti umelala na wanaume au wanawake wangapi au wanauliza wema akikutaka utakubali kutoka naye (actually huyu dada aliulizwa hivyo) yaani mi siwezi kuzisikiliza...shida ni nini...mi naona shida ni elimu..mtu unaibukia tu kuwa presenter hujui what it entails. Ni kama magazeti ya udaku wanatupia mipicha michafu na hadithi mbaya na zaidi ni za ngono na mapenzi na kuandika kuhusu mabuzi, michepuko n.k.hawajali kabisa kuwa watoto under 16yrs wanaaccess ya kusoma haya magazeti. Ni shida sana na mfumo wetu na mind set yetu inahitaji inadilike..ndo hayo tu da Nuru

Bintinyota said...

Tatizo wenye vipindi wenyewe Mchina, so hawataki MTU awe him / herself wanataka kila kitu ufekish tu.

Unatakiwa uulize maswali ya kuchimba kujua chanzo, na VIP kikemewe, wamrkalia Udaku tu