Genuine Nordic Vodka

Genuine Nordic Vodka

Tuesday, August 23, 2016

NEW WEEK,NEW HAIR-DO!!!


3 comments:

Anonymous said...

mastaa wa kibongo too much filters mana hapo ukimuona uso kwa uso utatamani kukimbia, sura imeshaanza kumshuka hana mazoez wala nn, aache mambo ya kula kula ovyo,
yani mastaa wetu ni wazee ukilinganisha na akina Jlo,bey au hata mke wa harvey bado vijana
nuru wape somo la mazoez may b wataelewa, mbn wasikuangalie wewe uwe mfano kwao
mffyyyuuuuu wananiboa kweli

Anonymous said...

Huyu dear wala si kula kula huyu anakata kilauri ile mbaya na ni kikichoenda shule.pombe za kila siku madhara yake haswa kwa wadada/wanawake ni kuzeeeka tena vibaya

Anonymous said...

uko sahihi dear afu ukiwapiga picha wanatoa pombe wanaweka soda coca,
hawana maana wanatembea na vitoto vidg badala ya kufanya mazoez kama akina Jlo ili waende sawa na miili ya wapenz wao, kutwa kucha kunywa