Genuine Nordic Vodka

Genuine Nordic Vodka

Tuesday, August 23, 2016

I DON!T WANNA BE A BACKUP DANCER I WANNA BE THE MAIN ACT,QUEENSLAND IT!S BEEN LOVELY MATE!!!



 LAST MINUTE SHOPPING BEFORE HITTING THE AIRPORT,,
SHOPPING ZA MWISHO MWISHO,,








 I GOT THESE JEGGINGS FOR 8POUNDS AND THEY ARE SO COMFY COMFY,,
HII JEGGINGS NLOVAA NIMEINUNUA PRIMARK I THINK 8POUNDS SIZE 6 YAANI NAJUTA NLICHUKUA MOJA ZIKO SO COMFORTABLE,,NGOJA NIWEKE ODAAA!!



 JUCE BONGE LA POZZ ON THIS ONE,,,







 WE MISS YOU ALL,,NURU OCH GÄNGET!!!






 JUCE DID A LAST MINUTE PERFOMANCE,,
JUCE AKAWAPA SHOW KABLA HATUJASEPA,,LOL




 WHISKY TESTING,,
KABLA HUJANUNUA UNARUHUSIWA KUTASTE BRAND TOFAUTI AND KAKA YANGU ANACOLLECT WHISKY SO ALINUNUA ZA LIMITED ADDITION MEANING WHISKY AMBAZO BAADA YA MIAKA 2 AU 5 ANAWEZA KUZIUZA KWA HELA NYINGI SANA KWASABABU ZITAKUWA HAZITENGENEZWI TENA,,
SOMO LA POMBE NTAWAPA SIKU NYINGINE MAANA NIMEGUNDUA TANZANIA WENGI MNAKUNYWA LAKINI HAMJUI MAANA YA VYOMBO AU UNYWAJI,,
 HUYU KAKA ALIKUWA ANAJUA KILA KITU YAANI EXPERT KWENYE SEKTA YA WHISKY AND HE WAS VERY PROFFESSIONAL AND HELPFUL,,


 HUYO MWENYEWEEEEEEE NA VYOMBO VYAKE NIKICHACHA NTAMUIBIA LOL,,
 SINCE ALINUNUA WHISKY NYINGI AKAPATA VIP YAKE AKAPEWA A SPECIAL OFFER ALLIFURAHI MNO AND I WAS HAPPY FOR HIM MAANA,,,
 BYE BYE QUEENSLAND,,UNTIL WE MEET AGAIN!!!
VÄLKOMMEN TILL SVERIGE,,WIFI YULEEEEEEE OK BYEEEE!!!
HIVI WASOMAJI WANGU WOTE MMEKUWA WACHOYO HIVYO MKANINYIMA RESEPI YA MTORI,SERIOUSLYYYY????
NIMEWAKOSEA NINI JAMENIIIIIIIIIIIIIII,,,SAD FACE!!!

7 comments:

Anonymous said...

ha ha ha sad face akina mangi lol!mkuje mmpe nuru somo la mtori

Anonymous said...

Pole dear ukiona hivyo ujue wale wasomaji wa kichaga wote wamezaliwa Dar. Usijali watakuja wale wa kishumundu watakupa recipe. Mama Nuru atakuwa amepooza hatari maana mlijua kumchangamsha.

Elsa said...

Ngoja mimi nijitolee kukupa receipt.

Mahitaji:
Nyama 1/2kg (chemsha isiive sana iwe na supu)
Ndizi 5 mbichi menya katakata
Kitunguu maji 1kikubwa chopped
Karoti 1 kubwa chopped
Green paper 1 chopped
Chumvi 1/4 teaspoon
Mafuta ya kupikia 2 table spoon
Black paper (optional)1/2 tea spoon

Weka ndizi ulizokata katika sufuria, tia viungo vyote (kitunguu, karoti,chumvi,black paper) weka supu ila isifunike ndizi halfway funika iache ichemke.
Ikishachemka kwa dakika 6-10 depend na ndizi, funua weka mafuta ya kupikia ongeza supu kidogo weka na hoho zako funika tena ichemke kwa 5min, angalia ndizi zako kama zimeiva.
Ipua chukua mwiko/potato mash anza kuzimash/kusonga ukiona zinakuwa nzito as ugali unakuwa unaongeza ile supu kidogo kidogo. Mara nyingi huwa namash zikiwa chini (out of jiko), ukiona umepata consistency unayotaka zirudishe jikoni ili zipate moto then, pakua tayari kwa kuliwa.

NB: Nyama unaweka mwisho baada ya kumaliza kuponda.
This is how I am cooking.

Please try and let us knw.

Anonymous said...

Chemsha nyama iive vizuri, iwe na supu nyingi kiasi kulingana na mtori unaopika, weka chumvi kwa ladha. menya ndizi (inategemea unapenda ndizi gani, kuna ndizi mshale, na ndizi uganda au ngombe) ila kwa test nzuri ya mtori tumia ndizi uganda unamix na viazi ulaya kidogo, osha ndizi zilizochanganywa na viazi, weka carrot, chumwi, mafuta na vitunguu maji na pia vitunguu saum kidogo kwa harufu nzuri na ladha pia, chemsha mchanganyiko huo hadi uive, unaweza kuchemsha kwa kutumia maji then ukapekecha na ile supu uliyochemsha au kama supu ni nyingi imenona vizuri unaweza kuchemsha ndizi hizo kwa kutumia supu. hakikisha ndizi zimeiva vizuri na zimekauka then anza kuponda kwa kuweka supu kidogo kidogo then zikishalainika kabisa weka supu na nyama kulingana na aina ya mtori unaotaka (namaanisha mwembamba au mzito kiasi) then pekecha mchanganyiko wote huo (unaweza kutumia blender pia) then karibu mezani.

NURU THE LIGHT said...

Ahsante sana mdau hujui tuu nilivyofurahi,,thank you!!

Anonymous said...

mimi nuru nikotofauti kidogo but kama utapenda pia upishi wangu waweza jaribu pia ununua mifupa tu amboyo hina nyama but iwe imekatwa vipande vidogo ku make supu than uta chemsha pamoja na nyama ya ngome iive vizuri then usisahu kuweka chumvi kidogo changanya vitunguu nayanya karoti hoho saumu giligilani a pilipili mbuzi kidogo kama unatumia then unamenya ndizi uganda mbembeni unaponda then unachanganya itakuwa tamu sana

Bintinyota said...

That moment of WHY?
Uwa naumia ndani kwa ndani when I say g.bye to mom!!

I love your family.