Genuine Nordic Vodka

Genuine Nordic Vodka

Wednesday, August 17, 2016

BAR AND BEYOND AND I NEARLY FELL OVER AND BROKE MY BACK,WHAT A NIGHT!!!


 BYEEEEEEE MOMMY,,,
 BABA NA MAMA WAKIMAKE SURE TUMETOKA SALAMA,,,






 BROTHER OH BROTHER,,

 MY TT IN HER KILLER OUTFIT,,

NIKITAJA BEI YA VAZI LANGU MTAZIMIA,LOL!!





























 MOVING ON TO VENUE NUMBER TWO AND WE WERE SO HYPED WORDS CANNOT DESCRIBE,,
TUKAHAMA TUKAENDA CLUB NYENGINE,,
JAMANI TULIVYOINGIA HUMU TULIKUWA SO HYPED YAANI MZUKA SIWEZI KUHADITHIA KWA MAANDISHI,,





























 LES SQUAD,,

BACK HOME SAFE AND SOUND OH MEEN THE TAXI RIDE WAS A TRIP,,
THIS WAS BY FAR ONE OF THE MOST LIT NIGHT I HAVE EVER BEEN A PART OF,,
WE HAD SOOOOO MUCH FUN,,
THE DAY AFTER OR THE AFTERMATH WAS NOT PRETTY AT ALL,,
EVERYBODY WENT STRAIGHT TO THE KITCHEN THE DAY AFTER THANK GOD FOR MOMMY DEAREST SHE HAD THE FOOD READY,,
BUT WE DID IT ALL AGAIN THE DAY AFTER HAHAHAHAH!!!

WAKATI WA KURUDI KWENYE TAXI TULIKUWA TUNAMUONGELESHA TAXI DREVA KISWAHILI JAMANI NLIKUWA NACHEKA NATAMANI NINGEREKODI NIKAIRUSHA ILA JAMANI KUNA KAZI UNATAKIWA TU UWE NA MOYO MAANA WATU WASHAJILEWEA NI VITUKO TYUU NA MATUKIO,,
ALITUFIKISHA NA AKATUOMBA NA CHOO BADAE TUKAPIGA NAE PICHA KIUKWELI TULIENJOY SIKU YA PILI TULIKUWA HOI CHA KWANZA WOTE TULIVYOAMKA NI KUKIMBILIA JIKONI KUTAFUTA MSOSI CHEZEA NJAA AHSANTE MAMA ULITUSAVEEEE MAANA MENU ILIKUWA TAYARI,,,
USIKU TULITOKA TENA KAMA KAWA AMA KWELI STAREHE NI SHETANIII HAHAHA!!

9 comments:

Anonymous said...

Nuru mbona umenenepa jamani na ulisema unafanya zoezi upungue? kijungu kileeee kimechomoza, lakini umependeza usipungue sana. le outfit is gud.

Anonymous said...

Waka waka

NURU THE LIGHT said...

Kwa Mother Dearest menu menu menu bila mpango wote tumeondoka tumeongezeka hahahhahahahah yaani ila kilo 2 si mbaya zitatolewa tuu,,,umekiona ehhh kijungu haha

Anonymous said...

Punguza tu tumbo mengine acha the light mnajua kuhave fun la familia

Anonymous said...

I envy you and your family jinsi mnavyopendana na enjoy each others company. i swear natamani kweli sema family zetu ni full majanga!!! i really envy you nuru, you look beautiful and glowing!!! kaka yako tuu mie hooooiiiiii!!!!

Anonymous said...

huyo dereva mbona simuoni kwenye hiyo picha

Anonymous said...

Great looks everyone am loving TT mustard jacket and them nude heels

NURU THE LIGHT said...

Thank you anon 3.58 am so sorry to hear that the key is to find the ones that you klick and get ALONG with and make that bond grow strong er and go on from there,,
NA uloulizia picha ya taxi driver sijui una shida nae au maana sijaelewa koment yako au nyie ndio wale mtu akisema kala mpaka mpostiwe na chakula hahahh na kingine huyo ni mtu sina haki ya kumpost kama sitopewa ruhsa,,kapishh
Thank you evaribadiiiiii,,

Anonymous said...

mmependeza wka kweli yaani napenda mix ya uitfit ! enjoy na familia yako wka kweli wengine huzuni tu .com navyopenda kucheza natamania ningekuwepo