Genuine Nordic Vodka

Genuine Nordic Vodka

Sunday, January 31, 2016

UJUMBE MZURI SANA JANECCY,I HOPE THEY LISTEN!!!



Vijana Wenzangu Tanzania 
There's a lesson we should learn . Somo kuu Sana . Hakuna kinachoniuma Sana Kila nikifungua simu na kukuta vijana wanafariki Hasa kwa ajali . Tena ajali zenyewe ni Zile za magari binafsi na Bodaboda . Paul Walker , lost his life on car accident and we mourned but there was a reason for search incident . A message to be delivered to all car/motorcycle lovers and owners . Tuwe makini barabarani . Watu wengi wanapoteza maisha kwa uzembe wao au wa watu wengine wanaotumia barabara. Najua yafuatayo ; magari ni kipimo cha mafanikio yetu na Bodaboda pia ni chanzo cha mapato ama usafiri nafuu kwetu Ila pia ni mtego wa ujana wetu . Mara nyingi tunaendesha mwendo kasi , hatufungi mikanda , tunaendesha tukichat ama tukiongea na simu , wengine wakiwa na ulevi na hata wale wanaokatazwa kuendesha magari kutokana na sababu za kitabibu huwa nao wanaendesha . Bado sasa Bodaboda , Yani ukiona mbwembwe za vijana wanaoendesha Bodaboda unaweza ukaumwa . Basi Kama hauamini katembelee MOI au Sewa Haji pale Muhimbili. Yani hali ni mbaya mno mno . Ifike mahali tusambaze na kupaza Sauti zetu juu ya usalama wa barabarani lakini pia kuendesha kwa umakini. Dar Es Salaam mji Mkuu Una ajali nyingi Sana ambazo zimesababisha Vifo . Nimepoteza rafiki zangu wengi vijana kwa ajali za papo hapo na nyingi zimesababishwa na wenyewe . Nimeshuhudia majeruhi wa ajali hizi wakiwa kwenye maumivu makali . Sisi tuliopo hai tuna wajibu wa kuwalinda wengine dhidi ya ajali hizi. Asikuambie mtu , hamna maumivu makali Kama mzazi anapompoteza Mwana tena Mwana kijana . Tuwe mabalozi wenyewe wa usalama barabarani. Kama hatutaambizana ukweli , tutakwisha tu . Kwa Maana wengi kipimo cha mafanikio cha kwanza ni kununua gari . Sio kitu kibaya Kuwa na usafiri wako Ila ni mbaya Sana kuruhusu usafiri huo ukatize ndoto zako . Tusambaze ujumbe . Mimi Kama mbunge kijana nimeona tuna wajibu wa kukumbushana kuhusu usalama barabarani ‪#‎KijanaMtanzania‬ ‪#‎EndeshaKwaUsalama‬ ™

GONE TO SOON CALVIN DUE TO A CAR ACCIDENT,,REST IN PEACE!!!

A STAR IS BORN!!

 Baada ya kutukanwa sana mitandaoni Faiza Ally aliye kuwa mke wa mweshimiwa Sugu aja na kipidi cha TV kinachoitwa star 
Nachukua nafasi hii kumshukuru M.Mungu mwingi wa rehma kwa kuwa naona kwa mara ya kwanza katika comment zaidi ya mia 300 zote ni nzuri kasoro 3 kwa mimi ni kitu kikubwa maana kwenye maisha yangu mara nyingi nimekua mtu wa kujajiwa na kutukanwa kwa sababu tu nimechagua kuwa tofauti,,

Baada kukosa interview na mambo kwenda ndivyo sivyo nimenyon'gonyea sana nikarudi home nikiwa na mawazo nikawa najiuliza kwa nini ? Imekuwaje ikapelekea kuwaza mengi yasiyo mazuri dah! Basi sasha akawa ana niweka bize kuna wakati nikawa naumia...lkn nikaanza kupika#kufanya usafi#kucheza#tukaoga#tukala#tukafanya home work na kazi zingine za shule...mwisho wa yote nikambembeleza binti yangu ‪#‎sasa‬ kamelala si ndio nikaanza kukutazama kalivyo kazuri#nikaanza kukathaminisha dah! Nikaona jinsi gani M.Mungu amechagua na amenipa nafasi ya pekee ya kunipa mtoto wangu# kwa kweli nikaanza kuomba msamaha kwa kukosa imani ya kukosa Jambo 1 bila kuangalia baraka zingine - kwa kweli nimejikuta nasema ALHAMDULILLAH wkt huo nikiwa naomba msamaha wa kulalamika.... Dah! Nakushukuru Mungu wangu kwa maisha yangu mazuri- pia Naomba msamaha kwa malalamiko yangu na unipe imani ya kuangalia vizuri zaidi ya vibaya ‪#‎kwani‬ nipo pazuri sana ambapo wengi wame tamani na hawapo# nimeona ni share nanyi marafiki kwa kuwaambia kwamba.... Unapo tazama uliyo kosa#tazama na ulio pata#halafu jithaminishe na wengine na uombe msamaha na kushuru na kufurahia ulio nayo- nasema Asante Mungu kwa wema wako 🙏👼💕 ...... Tag rafiki yako tumshukuru M.Mungu kwa wema wake 

HI SPONSOR!!!


LIVINGROOMS!!




HAHAHAHA WHY NOT!!!



ZENAH!!


ZIKA VIRUS!!




POACHERS IN ACTION!!







SAG AWARDS 2016!!!



 SOFIA VERGARA,,


 EVA LONGORIA,,,

 SWEDISH ACTRESS ALICE WIKANDER,,

 ALWAYS ELEGANT,,


 KATE WINSLET,,,

PRIYANKA CHOPRA,,,

COUPLES!!!



 WORST DRESSED,,




AND THE WINNERS ARE,,


 IDRIS ELBA,,,



 VIOLA DAVIS,,,

 LEONARDO DICRAPIO,,,

ALICE WIKANDER STARRING IN THE MOVIE CALLED DANISH GIRL WON ASWELL,,GRATTIS SVERIGE OCH ALICE!!!