Genuine Nordic Vodka

Genuine Nordic Vodka

Monday, August 31, 2015

AND THE SAGA CONTINUES!!!


Shilole akaidi adhabu ya Basata
15
Msanii Zuwena Mohamed alimaarufu kama Shilole amekaidi adhabu aliyopewa na Baraza la Sanaa Tanzania (Basata) iliyomtaka kutoshiriki masuala ya sanaa ndani na nje ya nchi kwa mwaka mzima.

Shilole amekaidi adhabu hiyo baada ya kuonekana akifanya show katika kampeni za Chama Cha Mapinduzi (CCM) akimnadi Mgombea nafasi ya urais wa chama hicho Dk. John Magufuli wakati wapo jijini Mbeya siku kadha zilizopita.

Kipindi cha Planet Bongo kilitaka kufahamu endapo adhabu ya msanii huyo imefutwa, na kuwatafuta Baraza la Sanaa Tanzania ndipo hapo Mama Sharua ambaye yupo katika Idara ya kukuza Sanaa na Masoko alipokanusha kufutwa kwa adhabu ya msanii huyo na kusema adhabu yake ipo palepale na kama amefanya shoo amekaidi adhabu hiyo.
Bofya kusoma zaidi,,

HOTNESS!!

CASSIE

KARRUECHE,,

JOYCE KIRIA!!!





ONTO OTHER ISSH!!!



WITH LOVE!!!


THE FIRST EVER BODYBUILDER TO EVER COME OUT IN TANZANIA,MR TANZANIA 2015 YOU HAVE MADE IT IN THE HISTORY BOOKS!!!



THE COMPETITION TOOK PLACE YESTERDAY IN DAR ES SALAAM FOR THE FIRST TIME IN TANZANIA!!!

AT THE STATE HOUSE!!




LILLY!!!


TAMMY THE BADDEST!!!



Sunday, August 30, 2015

TIMES FM YOU!V TRULY BEEN GOOD TO ME AND LIL OMMY THE PLEASURE WAS ALL MINE!!!

















AM GONNA POST THE VIDEOCLIP  LATER ON JUST TO SHOW YOU HOW MUCH FUN WE HAD ON THE STUDIO,,,
IT WAS MY FIRST TIME MEETING OMMY BUT  MUST SAY THAT WE CLICKED RIGHT AWAY,,
HE ALSO HAS A MAGAZINE THAT HE DISTRIBUTES ABOUT THE MUSIC INDUSTRY AND THE ENTERTAINMENT PART OF THE BUSINESS,,
A YOUNG GUY BUT VERY TALENTED AT WHAT HE DOES AND HE DEFINETLY KNOWS WHERE HE IS HEADING,,

29TH OF AUGUST AT JANGWANI#UKAWA!!!







WEMA SEPETU AND STEVE NYERERE!S LAUNCH OF MAMA ONGEA NA MWANAO!!!

 WEMA SEPETU,,
 Wema akimkabidhi Dk. Jakaya Kikwete zawadi... pembeni ni Zamaradi Mketema

  DK. Jakaya Mrisho Kikwete akiongea na wageni ndani ya ukumbi wa Hyatt Regency Dar es Salaam.





 Mama ongea na Mwanao wakimkabidhi Bi Asha Rose Migiro zawadi waliyo muandalia ya Kitenge.

 Mama Ongea na mwanao ni kampeni ambayo imeanzishwa na baadhi ya wasanii wakiongozwa na Steve Nyerere na Wema Sepetu kwa lengo moja tu la kuwaamasisha wazazi kuongea na watoto wao na kuwapa Elimu juu ya mambo mbalimbali kuhusu uchaguzi pamoja kuwahamasisha kuipigia kura CCM chama ambacho wanaamini kinao uwezo wakuwaletea maendelea wayatakayo...

Hafla hiyo ilifanyika Hyatt Regency Kilimanjaro jijini Dar es salaam na mgeni rasmi alikuwa Mh. Jakaya Mrisho Kikwete rais wa Jamuhuri ya muungano wa Tanzania.

SOURCE:WWW.ENDLESSFAME.COM