Genuine Nordic Vodka

Genuine Nordic Vodka

Tuesday, October 21, 2014

AND THERE YOU HAVE IT!!!!




#‎HABARI‬ MISS TZ 2014 SITTI MTEMVU, NI MISS HALALI MWENYE VIGEZO VYOTE!
Kamati ya Miss Tanzania imesema kuwa haiwezi kumvua taji Miss Tanzania 2014 Sitti Mtemvu kwa kuwa ni Miss halali na mwenye vigezo vyote vilivyotakiwa, na amewataka watu kutoropoka kwa kuwa hawajui vigezo vinavyotakiwa
Akifafanua kuhusu suala la umri, mratibu wa mashindano hayo Hashim Lundenga amesema kuwa cheti halali walichonacho wao ni kile kinachoonesha Sitti Mtemvu kazaliwa 24 mei 1991 na si vinginevyo.
Kuhusu suala la passport na leseni zilizosambaa kwenye mitandao ya jamii zikionesha amezaliwa mwaka 1989, Lundenga amesema wao huwa hawangaali vitu hivyo wanachojali ni cheti cha kuzaliwa.
Hashimu Lundenga amesema hakuna suala la yeye kupewa rushwa, ila Sitti Mtemvu ameshinda kihalali kwa kupitishwa na Majaji.
Kuhusu tuhuma za unene amesema wao huwa hawaangalii wembamba wala ufupi, muhimu ni awe na vigezo vinavyotakiwa,,
source;eatv facebook page!!!


16 comments:

Anonymous said...

Mie nafikiri wandishi wa habari ndio wanakuwa zero, wandishi hawana ujuzi kabla pambano kuujua sheria za ujazaji fomu nafikiri wangejua lipi linatakiwa na lipi alitakiwii wangekuwa nahaki au kuuliza ili wajibiwe inavyotakiwa so lundega anajuwa Kama wandishi vichwa maji so sie ndio kabisa wengi wamemjua huyu mwanamke kwajili ya miss tz na baba take so tumuache apumue binadamu Kama Mie na wewe wengi yakianikwa yetu sijui Kama kutakaliika, miss tz nilichoshangaa Mie Ni uumri tu sababu Mie simjui kiundani niliona zamani sana Facebook japo sio wote huandika umri sawa vielezo vya lundenga havirizishi ila miss tz ana haki ssio lazima ume mwembamba au Kama baba mbunge pia mtu unahaki so mtu akiwa baba bilionea ukae tu ? Bila mbele au nyuma kila mtu anapenda mwanae awe na mafanikio tofauti na elimu Ni kichwa tu na fikra muhimu Ni kweli number 2 na 3 wazuri ila wasikate tamaa siku Yao itakuja sio kazima miss tz so miss tz 2014 tumuache apumue hasa Kama watu hatujui ukweli. Mz

NURU THE LIGHT said...


kila mzazi anataka mema kwa mwanae ila leo kamati imeweka pressconference na kusema kwa amezaliwa 1991,,ww kama ww uloandika hapo juu je unaamini huyu dada kazaliwa 1991,,ukishapata jibu then ujue hakuwa na hak hata ya kushiriki,,nimemaliza,,
ukweli utabaki kuwa ukweli hata uvalishwe diamond!!!

Anonymous said...

Nikweli nuru wamechrmsha kwenye mengi hasa umri nabado wanangatangata kwenye umri na miiss number 2 na 3 wazuri kushinda yeye hata Mie nilikuwa katika wanaopinga ila nimetizama na kufikiria hata sie na hasa wandishi tumechrmsha toka zamani tungekuwa tunajuwa uendeshaji na sheria muhimu kitu kimoja Ni kwamba wanaharibu miss hataki kujibu anajibu lundenga cheti cha kuzaliwa Kama kimepotea vifo naa uzazi wanavyo na passport ndio haki ya mtu aanike ila tukubali Ni miss Tanzania kwa sasa sababu ushahidi wakuvuliwa hao wa kamati ndio wanasema wanao, njia ya pekee ambayo ataweza kunyanganywa ikiwa miss tz number 2 atapeleka hiyo kamati mahakamani kusema kaonewa na vigezo vya kaonewa miss mpaka ss, Ana haki akiwa mnene mfupi ila Kama ulivyosema awe Tu kafuata sheria Mie sikitiko langu Ni wa number 2 kusema muhindi kwani huwezi kuwa muhindi Ni raia wa Tanzania? Au umezaliwa rwanda ukaja kuwa raia wa Tanzania na kugombea u miss? Tunakuwa wabaguzi kwa wetu wenyrwe na ndio mzuri yule ndio number 1 wangu ila kwa sasa nakubali huyu ndio miss tz tutafanya nini? Watu wangemuhoji na mr patel ukweli upatikane na miss number 2 and 3 wawe wa kweli wasiogope kuongea. Mz

Anonymous said...

Mnachopingana na sitti pamoja na kamati ya miss tanzania ni kwamba wakati anaomba passport alikuwa na cheti kingine au? alifoji ili tu kwa kipindi hicho apate alichokuwa anahitaji kwa wakati ule Je vipi kuhusu driving license nayo pia alidanganya. Miss Tz, familia yake, na sitti mwenyewe ndo wafafanue kipi ni sahihi.

NURU THE LIGHT said...



Are we being serious right now ama,,
tatizo sijui mnpendwa kudanganywa sielewi ila pia sishangai maana kwa kutunga uwongo pia mna kipaji maana apparently mm sina kazi wakati naandika hii commentniko kazini.com!,

Anonymous said...

Watanzania hawajiwezi jamani walishazoea kudanganywa ila wakiamua wataweza kumuumbua huyu binti, na kama kweli ameishi marekani details zake zitakuwepo kwenye system apatikane mtu wakumpeleka kunakohusika tu ili aseme kama aliwadanganya wa marekani pia hiyo miss word haendi pia.

Anonymous said...

Nuru,i like u, u r a no nonsense woman.tazanians are cowards wit a capital C.kazi kulalamika kuhusu sitta bt they cnt do anytin to justfy ludenga n tell him hs rong cz ludenga is a bl***dy liar.thats unakuta wanadanganywa kirahisi.ask them to comment au kutisi au kuzomea mtu that wanajua...its so sad n embarrasing wen huyo sitta afike miss world then disqualified.cz miss world kamati or judges is nt ludenga.gud day nuru

Unknown said...

kwa kifupi hana atakapoenda hata akiling'ang'ania ilo taji hawafanyi hivyo kwa vitu vya kawaida isipokuwa ni wicked matters!!!!

NURU THE LIGHT said...



VEE issue sio yeye kungangania bali kamati walitakiwa wamvue but kuna kitu in why hawamvui and when the time is right tutajua tu,,

mdau anon 11.43 uko sahihi sipendi nonsense kabisaaaaaaa ahsantee love

Disminder orig baby said...

-tukisafir hatuonyeshi birth certificate Abadan.
-hiyo birth certificate imetoka September.
Miss kitongoji alishiriki lini? Na ilikuwa kwa kigezo kipi kuhakiki umri wake kwa waandaaji?
-hao kamati wameitisha wenyewe why binti awe hajajiandaa mpaka itafutwe Sikh nyingine?
-Kituo cha Police kitakachokuja kutajwa mmmh ni aibu, why asitaje Jana kama kweli alikwenda kutoa taarifa ya upoteaji?
-Huyu Dada anabeba bendera ya nani?
Kama Ya TANZANIA why taasisi husika hazifatilii hill?

Yaani WaTanzania wote tuchezewe akili?

All In All Hongera Sitti kwa kuchuukua Minutes zetu.

Disminder orig baby said...

-tukisafir hatuonyeshi birth certificate Abadan.
-hiyo birth certificate imetoka September.
Miss kitongoji alishiriki lini? Na ilikuwa kwa kigezo kipi kuhakiki umri wake kwa waandaaji?
-hao kamati wameitisha wenyewe why binti awe hajajiandaa mpaka itafutwe Sikh nyingine?
-Kituo cha Police kitakachokuja kutajwa mmmh ni aibu, why asitaje Jana kama kweli alikwenda kutoa taarifa ya upoteaji?
-Huyu Dada anabeba bendera ya nani?
Kama Ya TANZANIA why taasisi husika hazifatilii hill?

Yaani WaTanzania wote tuchezewe akili?

All In All Hongera Sitti kwa kuchuukua Minutes zetu.

Anonymous said...

tumuache tu lkn hata akipewa paasport nyingine kwa cheti hicho kipya cha kuzaliwa kwani fingerprints zitakuwa zimebadilika??? tuisubirie hapo airport unless otherwise na wao wale rushwa kama alivyoanisha lundenga kuwa matumizi ya pesa za wadhamini ni pamoja na rushwa..jamani basata,takukuru,police,na rita mnatakiwa na nyie mtoe majibu hapa

Anonymous said...

eti wanamtishia miss tanzania kumvua taji mwenzao kavuliwa chupi mara ngapi wala hana habari

Anonymous said...

Dah ila nuru huyo siti ana roho wallah m nngeachaaa

Anonymous said...

Nuru m naona pia hapo yamejficha mambo mengi kweli ktk hyo kamati so sad dah

NURU THE LIGHT said...


anona wa 12.23 hahaha hana habareeeee hujaona wanja utafkiri anaenda cjui wapi,,she doesnt give a shit,,