Genuine Nordic Vodka

Genuine Nordic Vodka

Tuesday, July 22, 2014

DON!T HATE BUT SIMPLY CONGRACTULATE BUT MOST IMPORTANTLY RESPECT MY HUSTLE.COM!!!









WHEN THEY GO LEFT YOU GO RIGHT AND BY THE TIME THEY WAKE UP OH DARLING YOU ARE ALREADY 100STEPS AHEAD OF THEM,,
THERE IS A SAD THING ABOUT HUMANS IS THAT AT TIMES THEY WISH YOU SO MUCH BAD STUFF THAT IT CONSUMES THEIR TIME AND ENERGY AND THEY MISS OUT THE BIG PICTURE WHICH IS THEIR OWN LIVES TO LIVE AND SEIZE THE MOMENT AND OPPRTUNITIES THAT WHERE RIGHT INFRONT OF THEM
REMEMBER THAT HATERS HAVE A JOB JUST LIKE YOU GO TO WORK EVERY MORNING THEY LOG ON AND START THEIR HATE ON JUST ABOUT ANYTHING AND THAT IS WHAT KEEPS THEM GOING.AND JUST AS YOU CHERISH AND LOVE YOUR JOB THEY LOVE THEIRS EVEN MORE,,SO WAKATI WAO WAKO BIZE NA WEWE KUWA BIZE NA NDOTO ZAKO KAMA WAO CAUSE AFTER ALL NANI ATAVUNA MAFANIKIO,TAFAKARI,JIULIZE NA JIJIBU!!!!

3 comments:

Anonymous said...

thanx for the word my dia

Anonymous said...

Nuru Hongera Allah akuzidishie zaidi napenda Blog yako na Mawazo yako ya Fikra kwa kutizama Blog tu yanaonyesha wazi ni mazuri! sorry pia nataka kuongelea Millan Magese kuona Pic zake nimeona huruma sana mungu atamsaidia amiin, na natumai anawatu wapo kwajili ya kumpa msaada wa moyo wa ukweli ni kweli ni muda wengi tupende kutizama afya zetu, kila muda afya zetu tuzichunguze tusisubiri tukiumwa tu umeongelea kuhusu Wanawake! Mie ni Mwanaume ..... Mie nipo kwenye Ndoa na Mke wangu Miaka 8 hatukujaliwa Kuwa na Watoto au Mtoto katika Miaka mitatu(3) kukaa na Mke wangu Kama Wanaume wengi fikra zetu ni kajuwa tatizo ni Mke wangu ila sababu nampenda Moyo wangu ulisema Allah katujalia Kuwa pamoja nitampenda Mke wangu hata tusipojaliwa watoto kwenda 5 yrs Mke wangu akapata matatizo ku tembea hawezi kwenda Hospital nchi za Europe tunaishi wakamwambia anatatizo karibu na mrija kuna sehemu imeziba akafanyiwa Operation na vipimo vengine akawa Yale matatizo hayamjii tena mpaka Leo ila katika kufanyiwa uchunguzi wakamwambia unao uzazi na afya yako nzuri Kabisa, Daktari akataka Mie nifanye vipimo vya mbegu za kiume, kufanya siku ya kuchukuwa vipimo katika maisha yang sikutegemea jibu litaotoka kwa daktari nikaambiwa na Zero Siemens za kuzalisha (0) akili yangu ilirudi kwa Mke wangu kwamba atanikimbia ila zaidi ya kufikiria Hivyo nilikaa kitako na mke wangu na kumueleza na kumwambia Kama yeye yupo tayari anaona Kama kutokuwa na mtoto itakuwa Zulma kwake anataka ndoa iwe basi uwamuzi ni wako ila Mie bado nakupenda na nipo ili Kuwa na wewe, mke wangu bila Shingo upande alisema yeye yupo tayari Kuwa na Mie mpaka uwamuzi wa mungu na mtoto anapanga mungu ila Kuwa na mtoto sasa hivi ni Nguvu zake Mola ila tu nafikiria ku Adopt mtoto tuishi naye ila miaka yote 8 mapenzi yetu ni mazuri na tunaishi vizuri na pande zote mbili za kwangu na kwa mke wangu hakuna aliyeleta maneno ya fitna hata napoona ndoa zinavunjika sababu mtoto kwa wasiojaliwa watoto nasikitika sana na hasa Wanaume ni watu wasiokubali ikiwa tatizo ni kwao Mie nilikaa Miezi 3 depression vipi sizalishi Hamu yakula nilikuwa sina sababu nilikuwa sina Imani na dini ila baada kukutana na mtu wa dini kwenye uislamu akanifahamisha nini mungu anapanga akitaka na asipopanga mpate ujue ni anawapima mitihani mtaushinda vipi? Akaniambia kuna wanaofikia kukufuru kwa waganga wa kienyeji na wapo wanaopata watoto ila hawawatizami watoto zao wengine wanauwa vizazi wengine wanatupa sasa wewe kaa na mkeo ishi kwa usalama muombe Allah ipo siku utapata usipopata hapa sio mwisho wa dunia mungu haukumu ukipata au hutopata anauhukumu wanaopata na kuwauwa hata mtoto wa Ndugu yako ni wako wampende na ishi na watoto vizuri, toka siku Hiyo roho ilitulia naishi vizuri watoto wa watu nawapenda ila bado natamani Kuwa siku moja na wangu na Imani ipo siku. Ukijaliwa mtu mtoto kanaye uzuri. Na namalizia matatizo ya uzazi si mwanamke peke yake. mungu akujalie Nuru siku na wewe upate mwangaza wa mtoto. Nitafurahi siku nikikutana na wewe au Magese mungu azidi kuwapa furaha.

NURU THE LIGHT said...



Hii comment yako moja itsaidia fikra za watu mia moja,,nakushukuru kwa kushea historia yako n thank you mdau,,