Genuine Nordic Vodka

Genuine Nordic Vodka

Thursday, February 20, 2014

WHEN GOD BLESSES YOU THEN TRY TO REPAY HIM BY DOING A GOOD DEED TO A FELLOW HUMANBEING!!!!



WHEN I WAS A TEENAGER I WAS A VERY SHY PERSON AND USED TO LOCK MYSELF UP IN MY ROOM AND READ.I READ AWHOLE BOOK IN A DAY OR TWO AND NEVER IN MY LIFE DID I THINK THAT I AM GOING TO BE A BUSINESSWOMAN OR A SINGER.AT THE AGE OF 16 IGOT SIGNED BY STOCKHOLM RECORDS,,,

WAKAT NATAKA ANZISHA THE LIGHT I SAID TO MYSELF AND MADE A PROMISE NOT TO GIVE UP ON ME AND TOKEA HAPO NIMEKUWA NA MSIMAMO HUO HUO.
NILISHAWAHI KUONGEA KUHUSU WEWE KUWA NA GENGE LA KUUZA NYANYA NA BADO MTU AKAKUONEA WIVU KWAHILO.
DUNIANI KUNA WATU AMBAO NI USELESS NA NUKSI TUUU NA HIYO NDIO KAZI YAO HAPA DUNIANI YAANI WAKIMBIE KAMA BOLT,,
CHA ALICHOJISEMEA SNURA HELA NITAFUTE MIE,BIASHARA NIIGHARAMIE MIMI,UCHUNGU NA RAHA ZOTE NIPITIE MIMI ILA KUPONDA UPONDE WEWE
BINADAMU HATOWI BALI ATAKUCHELEWESHA TUUU LAKIN KAMA MUUMBA KAANDIKA BASI AMINI UTATUNUKIWA TU...

I CAME UP WITH THIS IDEA SINCE MWAKAJANA ILACKUWEZA FANIKISHA BALI MWAKAHUU NITAWEZA KUFANYA HIKI KITU ILINIWEZE WAWEZESHA WANAWAKE WAWILI NA BAADAE WENGINE ZAIDI WAWEZE TIMIZA NDOTO ZAO NA KUWEZA LEA FAMILIA ZAO,,
UNAAMBIWA EDUCATE A WOMAN NA JUA KUWA UMESOMESHA FAMILIA NZIMA.

NATAFUTA WANAWAKE WAWILI,NATAKA WAWE SINGLE MOTHERS MAANA NAJUA HAWA NDIO HAWANA NJIA RAHISI YA KUPATA KIPATO BUT HATA NIKIPATA WENYE WAUME ZAO N IKHERI AS LONG NKIONA WAKO SERIOUS NA WANAHITAJI MSAADA
MIMINATAKA MUANDIKE KILEMNAHITAJI ILIMUWEZEKUANZISHA BIASHARANA MIMI NITAWASAIDIA KIFEDHA ILI MUWEZE KUPATA INCOME..
THIS IS A BUSINESS IDEA NA NI KITUKITATU BENEFIT WOTE SIO MTU AONE SEHEM YA KUCHUKUAHELA HALAFU HANA HATA SHUGHULI NAZO.
KUNA WATU TANZANIA WANAHITAJI HELA NDOGO SANA ILIWAWEZE JIWEZESHA KIMAISHA ILA HAMNA JINSI YAWAOKUPATA.
PIA KUNA MFUMOWAKUTOPENDA KUSAIDIANA KUOGOPA KUPITWA KIMAISHA HII IPOKILASEKTA,,VERY SAD
NAANZA NA WANAWAKE THENTUTASAIDIA NAVIJANA PIA,,KUTOA SIO UTAJIRI BALI NI MOYO.COM

NAOMBA MNIANDIKIE NAKUNITUMIA EMAILTHROUGH MAGRAMARY@GMAIL.COM

5 comments:

Mischa said...

Hope women in need will take this opportunity,
Woman tell another woman to tell another woman about this.

Anonymous said...

The LIght leo umeniliza kabisa.

SubhannaAllah. kuna project naifanya nitakutumia email nikuelezee then you can see what to do.
katika project hii nina mama mmoja I think anahitaji huu msaada wako.
she's a single grandma!!!
Yaani anashinda na mjukuu wake sokoni akifanya biashara za kuuza fruits ili wale na kuvaa.

Nilimpata katika pita pita zangu za kutafuta wanawake hawa ili kuwapa elimu zaidi.

mpaka sasa ninao wanawake 4, wengine wamekuwa wagumu kozi wanahisi kuweka pesa bank ni kazi.
na sharti langu la mwanzo ni kukubali kuweka pesa bank hata kama ni mia5.

thank you so much.
na tutasambaza huu ujumbe.

UBARIKIWE SANA.

Anonymous said...

ITS ME DISMINDER.

Leo acc yangu imekataa kufunguka.

Anonymous said...

nuru jamani hunijui na mimi sikujui zaidi ya kukusoma ktk blog yako. mimi shida yangu kubwa nina ndugu yangu mwanamke ninataka kumsaidia kwa kumpa mtaji wa biashara ila tatizo ni hajua biashara hawahi fanya biashara yeyote na mimi pia ambaye nataka mkupa mtajia sina experience na biashara yeyote.So kama itawezekana ama unajua kikundi chochote inayotoa elimu juu ya biashara pls naomba sana unijulishe kupiti hii blog yako, ubarikiwe sana na kutakia mafanikio mema ktk biashara yako

Unknown said...

ULE MSEMO UNAOSEMA ADUI WA MWANAMKE NI MWANAMKE ILA SASA MKOMBOZI WA MWANAMKE SHOUT OUT SANA KWAKO BEST KUTOA NI MOYO WALA SIO UTAJIRI UNA NYINGI ILA UMEKUWA MSTARI WA MBELE KUSAIDIA JAMII USHAURI BADO UNATUPA.UNA MOYO WA KIPEKEE NA UNAVUNJA NI MWANAMKE UBARIKIWE SANA KUNA WATU WANA PESA SANA NA MOYO KAMA WAKO HAWANA WANAISHIA KUSHINDANA TU KWENYE SOCIAL MEDIA KUTAFUTA SIFA, MUNGU AKUBARIKI SANA