Genuine Nordic Vodka

Genuine Nordic Vodka

Friday, July 26, 2013

GET TO KNOW HUSH-BABE,A NEW SONGSTRESS INTOWN!!!


BORN IN DAR,STARTED MUSIC AS A KID
PLANS TO TAKE HER MUSIC INTERNATIONALLY
HER INTRESTS IS SHOPPING AND SINGING AND LOVES KIM KARDAHIAN AND NURU THE LIGHT.,

10 comments:

Anonymous said...

She looks more like a model than a singer,but all well its a show off industry.nice try n all the best to her she got cute face.

bangol said...

Wimbo mzuri meseji nzito ya kukumbushia kuaminiana katika mahusiano.mi nimeupata kwa shost wangu ofisini.ndo ringtone yangu kwa sasa.keep up the good work HUSH.

Anonymous said...

Mh Nuru kwa kuibua mambo mazuri hujambo jana sikuja pande hizi ndo nimepata chance leo.nafurahi kuona wadada wanaongezeka kwenye sanaa ya mziki.i love her face especially eyes.love u nuru.

Anonymous said...

You cant tell bana hiyo black n white pic haiko poa kivile kuna moja iko poa sana yaan amazingly beautiful.good work nuru.

NURU THE LIGHT said...



AHSANTENI KWA KUSHOW THE LOVE TO ME AND HUSH BABE..TUNAONGEZEKAAAA KAMA VIPI MABOYS WAJIPANGEEE MAANA SOON WE GON TAKE OVER,,KWA KUSUPPORT WANAWAKE WENZANGU SITACHOKA,,

Anonymous said...

Hivi nuru tukimuona hush babe mtaani tutamjua? Tunaomba uweke picha zinazomuonyesha vzr zaidi mi simsomi naona kivuli kwa mbaali.ni shombeshombe mwenzio nn?? Maana hayo macho mh!!

Anonymous said...

Haah! I feel like knowin the lady on pic.we met like two years ago in us n we kinda hang out together.iam no so sure but if ur the one plzz email me its me jasmine Al Bawaid.

hush babe said...

Hey jasmine,i think u mistook me for somebody else i wasnt in us two years back and i dont remember knowin you.thanks though.

Anonymous said...

Hey nuru? We have noticed in tanzania there are very few collaboration of women in music not like america we have seen beyonce ft shakira cassie with nick minaj, brandy with monica beyonce with lady gaga keysha cole with trina e.t.c,how about collaboration of Nuru the light with Hush babe i think it will make an impact and brings changes.this is just my idea.deuces

Anonymous said...

Wanamuziki wa kike tanzania hawajiamini kila mmoja anahisi mwenzie atamfunika ushamba mtupu mi namjua huyo Hush ana pozi balaa unafikiri anaweza kukubali kushirikiana na mwanamke mwenzie.hovyooooo mi cwapendi.