Genuine Nordic Vodka

Genuine Nordic Vodka

Monday, May 30, 2011

DEVOTAS PRE WEDDING PARTY/KITCHEN PARTY HELD THIS WEEKEND!!











THE LIGHT WITH TOTO LANGU GETRUDE...,







DEVOTA WITH HER FRIEND..,











20 comments:

Anonymous said...

so kitchen party in Stockholm right?

Anonymous said...

mbona haieleweki?.. uchafu mtupulol aibu

Anonymous said...

Heeee... sina la kusema... I expected more...

NURU THE LIGHT said...

first anon yes..,
second anon cjui nikusaidieje uelewe
third one keep on expecting more coz there is more to come..,ili mradi tu usije ukapata tu heartattack..,

Anonymous said...

Haluuuuuuu heart attack ya wapi? manake huku bongo hatuna mbavu habari zimeshaingia... sasa afanye ajitahidi huku tu isije kuwa aibu...
Halafu mbona hatujaona pete akivalishwa? hiyo story ya engagement pia bado ni utata...Huyu angetulia aache mashauzi na kushindana na watu asioweza kushindana nayo.. watu wasingemcheka...
Hivi wageni wametoka bongo kuja kuwekwa kwenye kiji kitchen party saloon? na huyo bride to be ndo kavaa nini? Heart attack naisubiria kwa vidonge vya moyo kabisa... We hope ameparura account yake yote na vijisavings vya mzungu vya yale maduka anayoshare na wenzie ( in which shogayako hasemi anabakia ooh maduka yetu sijui vitu gani..) as if hao share holders wengine hawana spouses...
Kwanza mtu ana nyumba kubwa kwishney wageni wakafikia kule kwako walikojaa wasomali waati yeye nyumba kubwa na bwana ana mambo mazuri... mke wa bilionea aenda panda ndege za bei rahisi ngoja mwambie waturuki hawaaminiki atamwagwa baharini haihuuuuuuuuu...
Kashindwa, mmeshindwa.. full mashauzi zero action.. sasa afanye fanye aombe michango zaidi huko bongo azidi kujitia na aibu kusudi afanikishe..
PS: Yule jamaa anaonekana kama amekuwa forced kwenye ndoa kwa hiyo gudi lucki..she'll need it..they both will.. na kwa furaha zake mwenyewe I hope and I pray for her kwamba itakuwa ile wedding of teh eyar aliyotangaza kule u-turn la sivyo ni kujishusha hadhi wakati tayari hana hadhi... na hadhi sio kuvaa kiatu cha bei au kununua nguo(in her case kuchukua nguo dukani) ya designer..
message sent

Anonymous said...

madem wa kibongo wanajua vaa angalia tu pic inaexplain everything watu wa ulaya mmepaukaaaaaaa....... Jackie and Devota Brenvick....mnatishaaaaaaaaaaa.....anyway all the best devota (dvd).

Anonymous said...

Eti heart attack,my ass..mnataka mambo hamyawezi aibuuuuuu.unaolewa na bilionea unapaita ukichangisha watu bongo,this make me feel HA HA HAAAAAAAAA

NURU THE LIGHT said...

KWELI MSHAPATA HEARTATTACK TAYARIII MBONA MNAJISUMBUA MAMBO SI YENU AU MLIKUWA MNATAKA MUALIKO HAMJAPTA NDO MANA ROHO ZINAWAUMA,,JUST BY THOSE COMMENTS INAONEKANA TAYRI MNAFUATILIA MAISHA YA WATU MNOOOOOO...,NA BADOOO.,

Anonymous said...

Nuru umerudi msibani? si ungeluu ungesubiria harusi huko?

Anonymous said...

Wacha we hadi saluni za mitaani nimekuta wanaongelea kitu hicho hicho nikaona nije kujionea...kulikoni huyu si devota designer? sasa mbona kichen party salun? au ndo ilikuwa party theme ni urembo wa nywele? lakini dada uko juu naskia mumeo mambo super hadi ndege binafsi anayo.. ubarikiwe...

Anonymous said...

binadamu wacheni wivu hatakama angefanya kitchen party chooni aiwahusuu,what matter she is so happy and very very happy with her hubby to be,sasa wewe go find your life cuz you dont have one ndo maana unaangaika na maisha ya Devota na kujaribu kufuatilia kila kona anzisha gazeti basi.mind your life upate baraka.unajitendea thambi tu.kutamani vitu ya watu kwani tunajuwa unatamani ungepata hiyo nafasi ya Devota..bye the way hiyo siyo kitchen pary as i see ni ndugu tu waliamua ku get together and have some drinks ukualikwa sasa roho inakuuma mshenziiii weeeee

Anonymous said...

uliyetaka kuona akivishwa pete umechelewa alivalivya Paris kitandani wakati akipewa maraha so that kind of pic huwezi kuona kinyago kama wewe na wivu wako,labda ungewahi uingie kwenye toilet bag ya devota ungeona akiviswa hiyo pete,engegement ring inavishwa popote anapojisikia mtoaji pete. subiri yako utapewa ukiwa una kunya then utuonyeshe pic zako .

Anonymous said...

Hiyo siyo kitchen party, let's say get together tumuagae dada yetu...kitchen party inakuwa na selv service ya chakula..mduaraaa au ndio mambo ya kudhunguuuuuuuuuuuu:)

Anonymous said...

Nuru unamchoresha tu mwenzio mie hizo picha hata nisingeweka... Full kuaibishana...

Anonymous said...

Jamani wadada wa kibongo mnawivu na maendeleo ya wenzenu, si mumaproach awape tips za maendeleo kuliko kubwabwaja maneno yasiyokuwa na maana, kwanza hapo ulipo miguu yako inamagwambara kibao kwanini usitafute sabuni zinazoondoa huko madukani uje ufanyefanye kusukua miguu ukitumie hiyo sabuni ili magwambara yaishe rather than westing your time one matters which do not concern you!? hilo ni angalizo tu sasa waweza kufata ushauri wangu au waweza kuendeleza kazi ya upaparazi ya bila malipo...Get a life bitch Mxcsziuuuuuu

Neeeeeeext

Mdau

Anonymous said...

we unayesema kavalishwa Paris kitandamni ndo wale wale... rudi nyuma uone Nuru aliandika nini kuhusu engagement, mavi we. Paris imegeuka Stockholm?
Kuna kitu sio sawa kwenye hii picha...

Anonymous said...

Watu kwa miwivu jamani, ndoa ya mwingine wengine midomo mirefuuu kama chuchunge, hivi mnaona fahari kuwa na makitchen party makuubwa baada ya miezi michache ndoa hazidumu, hakyanan, mimi ingekuwa narudia kuolewa harusi ingekuwa na watu muhimu wanne tu! hata wazazi wao walishafunga za kwao. Kwanza kupendana tupendane sisi, sherehe tuwafanyie sisi, mkiombwa michango mara ooh kafulia anaomba omba! get life people. Na nyie mnaomponda mwenzenu fichueni ID zenu kama wanawake na wanaume wa SHOKA. Nyoooooooko zenu.

Anonymous said...

we Anony wa 13:37,kweli unakazi kufuatilia hata iwe stockholm au wapi wewe unataka nini kuwe na utata kusiwe na utata tuonyeshe maisha yako basi yako vipi au unashinda kutwa kwenye blogg kujuwa huyu anaolewa yule anaachika....mind your ass.na wenye kutaka Kitchen party ...fanyeni vyenu nieleze hicho kitchen party kina saidia nini au kufundisha nini kama sio kupoteza muda ,full uswahili na majungu yasiyo kuwa na maana...haualikwi hata mbinguni mjinga wee...strait unaingia ahera utakutana na wasengenyaji wenzako na wanafiki wenzio....

Anonymous said...

msonyoooooo... ndo mkome...

Anonymous said...

Jamani watanzania nimewavalia kofia mna chuuuuki sana na hasira zooote za nini wakati ndoa sio yenu, mwaivalie kibwebwe. Mbona hii inaeleweka kabisa hii inaonekana ni kafanyiwa ka get together kidogo na marafiki zake na ndugu wa huko hii ni kama pre pre pre sasa tabu iko wapi mbona hamsubiri mpaka mambo yote yaishe? hata akiamua kufanya hivi nyie kinawauma nini hasa? Mimi mwenyewe sipendi mambo makubwa sijui mambo ya mchango kisa ufanye kitu kikubwa uonekana wakati watu wengine wanashida katika nchi yako ya nini yote? kusema tu ndio hivyo wazazi na ndugu ndio wanaexpecxt hayo mambo lakini kama ni upto me ningefanya kama aliyesema huyo wa huko juu ya watu wanne wamaana. What matters is love and marriage ndio idumu haya mambo ya paty kubwa watanzania tunabidi tujifunze kuget over it kwasababu hatustahili kufanya hivyo vitu ukiangalia wazungu watu wanafanya kitu kidogo tu but meaningful to the couple na familia. lakini sisi tunataka sijui kuonyesha kwa nani kwamba pesa ipo na mpaka iwe zaidi na ya nani ili iweje sasa? haya mambo yamepitwa na wakati wazungu wanaita keeping up with the jones kama pesa unayo kama huna huna ni kati yako familia yako na Mungu wako.