Genuine Nordic Vodka

Genuine Nordic Vodka

Wednesday, June 2, 2010

COUPLE OF THE DAY!!!


DEVOTA DEVOTION WITH HER BOO!!

17 comments:

Anonymous said...

Boo wako yupo wapi bi Nuru? wa shoga yako tunamjua amebahatika zamu yako sasa weraaaaaaaaaaaaaaaaaa!

Anonymous said...

Nuru naye yuko mbioni kupata kibabu cha kisweden,yaani watamkoma bloguni na anavyopenda kujifagilia????????? sipati picha



usibanie hii komenti

NURU THE LIGHT said...

jameni mbona my BOO yumo humuhumu nimemweka siku nyingi tuuu..,seek and you shall find...,

na anon wa pili hupati picha wakati movie ishatoka humu siku nyingiiii...,

Anonymous said...

Nuru mbona watupa homework bidada.
Give us some clues basi, angalau tujue pa kuanzia..lol.. Uko juu!

Anonymous said...

Nuru huna haja ya kuonyesha watu maisha yako ishi unavyotaka sio wanavyotaka na huna sababu ya kuwa na kibabu kwa taarifa yao kuna watu wamezaliwa makusudi kukosesha wenzao raha looooooo washindwe na walegee sehemu zao muhimu

Anonymous said...

Well Said Nuru, "they shd seeK and they will find" AND THEY DONT KNW THAT CURIOSITY KILLED A CAT, lollllll

Anonymous said...

ahaaa nuru where can i see ur boo plz let us know

Anonymous said...

Wewe uliyesema kua Nuru yuko mbioni kutafuta kibabu cha kiswidi inakuhusu nini?wewe wako yuko wapi?Wabongo mtakoma na majungu yenu!

Anonymous said...

ili iweje?

Anonymous said...

Beautiful jamani sina usema zadi ya kuwakubali tu!

Anonymous said...

Devota na Boo wako mnawachapa sana bakora wambea,Tunasubiri harusi yenu lazima itakua balaaaaaa...I cant wait my dear,All the best

Anonymous said...

So fresh!

Anonymous said...

Aminiaaaaaaa Dvnice na husband to be mko juuu sanaaaaa...

Anonymous said...

Devota umeumbika dada!hongera sana na mungu awabariki

Anonymous said...

Wenye wivu kajinyongeni,kibabu kibabu wa kwenu wako wapi tuwaone?kha!wivu mpaka lini?Nuru rusha roho wafe wanga!!!Dvnice looking good na hubby wako mpaka raha

Anonymous said...

I love u Dvnice

Anonymous said...

Kiboko yao!!!Devota harusi lini?najua itakua na watu ambao wako juuu tu!Mimi nasubiri picha hapa the light