Genuine Nordic Vodka

Genuine Nordic Vodka

Tuesday, January 5, 2010

NIMEIBIWA KIBONGO STYLE YAANI SINA HAMU...SIMU YANGU WAS NEW NA IT WAS A CHRISTMAS GIFT..,what a girl to do

7 comments:

Sab said...

Pole Nuru ukija Bongo inabidi upate soma mana vibaka ata wewe wanaweza kukuibaloh pole mpz huku tinatembeaga tumekumbatia pochi zetu esp ukienda kariakoo loh mi nimeshawahi kuchaniwa handbag yangu sina hamu.Pole mumyyyy

Anonymous said...

Pole sana dada Nuru....Wezi ni watu wabaya sana,lakini usikate tamaa ...... bora uzima tu
Mungu akujalie kwa shughuli zako za kila siku.....
Amen. Endelea na mambo yako na usifikirie sana.

Faith S Hilary said...

daaaaaaah...pole sister!!!! yaani mmh..it shud mean so much 2 u n it shud b really annoyin yaani mmh

shamim a.k.a Zeze said...

MASKIN POLE LUV!!

Anonymous said...

wellcome to bongoland my sister ikijisahau watakuibia mpaka chipi ok
chefen

Anonymous said...

Inshallah Mwenyezimungu atakupa Nyengine nzuri zaidi. Mr MZ

NURU THE LIGHT said...

ahsanteni sna wapenziiiiii nashkuru..