Genuine Nordic Vodka

Genuine Nordic Vodka

Wednesday, July 29, 2009

MORE FASHION AND MORE OF NURU THE LIGHT..AM demostratin different looks to INSPIRE ALL OF YOU.,











17 comments:

Anonymous said...

Ok nimekubali mama aminia kwa viwalo you are the best!!!!!

nURUyA.

Unknown said...

Mshikaji huku unakokwenda sasa siko unataka kutonesha kibupa nini?

Anonymous said...

Dada the Bubies...lol those two friends upstairs looks good!

Anonymous said...

full kuuza sura, aya weka na namba tukupigie....basi usije sema unabahati mbaya

Yasinta Ngonyani said...

Wow! Nuru va fin du är. Kram!

NURU THE LIGHT said...

kwa wale walionisifia nawashukuru sanaaaa tena sanaaa..nia yangu ni kuonyesha viwalo na mpangilio wa viwalo..jose nadhani kama unanifahamu then u know mimi ni mtu wa aina gani na kama hunifahamu basi sina mengi zaidi ila kusema kwamba even bikini ni kiwalo cha kuvaa beach na kama unavyoona ndipo nilipokuwa..,ahsanteni wote wapenzi nashkuru...

Anonymous said...

nuru ya so sex baibe, acha watu waongee watakavyo, usijari kuongea ni utamaduni wa watanzania. unavutia sasa nuru kama jinalako lisemavyo.....

pamoko
atama karapoo

Anonymous said...

Picha ya baharini ni nzuri sana....... Je! huko sehemu gani hapo baharini ni hapa Bongo ? Naona mashua
nzuri kwa mbali !!! Nipe mchapo !! Umependeza
sana.

Anonymous said...

Mmhhhh, naona biashara matangazo... ila sio kwa kutumia gharama kubwa kihivyo.. kama unaelewa what i mean..

Anonymous said...

kama suala ni kuonyesha mpangilio wa mavazi naona kama ungetumia hata model mmoja ingevaa zaidi kuliko wewe kujianika hapa kwa ulimwengu wote kuona. Nafikiri kwa kwa muonekano wa nje unaonekana ni mdada poa tu na unayejua kujitunza na kutunza mali za mwenzi wako, basi na iwe hivyo. Natamani siku pia nimuone zeze nae anauza sura na bikini...

Anonymous said...

Mi viwalo wala sikuangalia, mi uvungu tu hoiiii!

NURU THE LIGHT said...

KWA WALIONISIFIA AHSANTENI NASHKURU...,NA WENGINEO SHAMIM NA MIMI NI WATU WAWILI TOFAUTI NA KILA MTU NA BLOG YAKE NA UAMUZI WAKE LIKE I SAID SIONI CHA AJABU NI NINI MTU KUVAA BIKINI NA YUKO BEACH SIJUI MLIKUWA MNATAKA NIVAE NINI..SINA MENGI ZAIDI KWA LEO NA KARIBUNI TENA

Anonymous said...

Nuru lazima unatoka na mzungu au uko single??

pam said...

inaonyesha unapenda kusifiwa......naona hata pozi zako ni zile za hapa nimetoka eeh? nakuadmire but unaniudhi kidogo kama unazidi sana mambo ya biashara matangazo

NURU THE LIGHT said...

anony hahahhahah mzungu tena hiyo issue imeingia saa ngapi let me just jibu no comments on that one..and pam hakuna mtu duniani asiyependa kusifiwa n i like posin and am good at it its my job...,na biashara mnayoiongelea nyinyi bado sijaelewa ni biashara gani...,sina duka na wala siuzi nguo,,,biashara ninayo fanya humu blogini ni kuhusu fashion,ideas n ubunifu wa viwalo na mambo ya nyumbani interior designing...,na kujiweka mwenyewe is to show ppl simply kwamba even them they can do it with simple deeds u just need imagination na ubunifu..,shukran

Anonymous said...

Mzungu anaweza kukubali ujiweke hivyo na pozi hizo half naked lakini mbantu lazima ule kichapo, but i like the naked one.....
nakuja sweden nitakutafuta basi unionyeshe nice clubs ku hang out.

sadiki said...

at the end of the day kumbuka wewe ni mtoto wa kiislam dadangu